samurai
JF-Expert Member
- Oct 16, 2010
- 11,495
- 24,174
Isemwe ukweli tu, makundi hasimu na wenye mitazamo tofauti ndani ya CCM yamekuwepo toka enzi za Mwalimu.
Tofauti iliyopo saa ni kushindwa kwa Mwenyekiti kuyabalance makundi hayo kwa kuyapa vyeo, nyadhifa na hata kuyakusanya kwa dinner pamoja.
Kutumia mabavu si suluhisho maana hiyo italeta mtafaruku mbaya aidi.
Hivi kuna ubyaa gani Mwenyekiti akiwaita wale anaotofautiana nao ndani ya CCM, wakakaa pamoja, pasuliana ukweli behind closed doors na kutoka na tamko la Umoja?
Yanayoendelea yataliangamiza Taifa na Umoja wake kama tunavyolifahamu.
Watu wakifunuliwa myumbo aliokuwa nao mkwere halafu yule mkwere alikuwa anakula bata utafikiri kuko shwari vile kumbe CCM ilikuwa mbaya balaa tena joka mkubwa EL alikuwa ndani ya nyumba upande mwingine CDM yenye nguvu ikichagizwa na EL pamoja na RA bado pressure ya raia lakini mkwere aliishi kwa hesabu na timing na akawafanyizia maadui zake wakati sahihi na mahala sahihi..