wabongo kwa MIPASHO na USHAMBENGA hawajambo! ehe! tuambie huo udaku wa kuwa CDM inafadhiliwa na wazungu umetoa wapi Wacheni Mipasho ndugu zangu!2000-2008 cuf ikipokea pesa za waarabu ili kuandamana. nchi ikakumbwa na wasiwasi mkubwa. uvumi wa ugaidi ukaenea kila upande. nakumbuka hata balozi wa marekani alitoa nasaha UDSM kwenye kanisa kwa watanzania kuigopa cuf ni chama kinachopata misaada kutoka uarabuni. aliwataka watanzania wasidanganyike, aliwataka kuwa makini na CUF
lkn sasa imekuja chadema, kinapata ufadhili kutoka mataifa ya kizungu mpka majina yametajwa kwenye vyombo vya habri kufanya maandamano huku ccm ikiwatahadaharisha wananchi.sasa wenye uchungu na nchi tunakumbuka matamko ya wazungu juuya Cuf. lkn pia tunangalia taifa linaelekea wapi juu pesa za wazungu kwa chadema
jee taifa nilaekea wapi? au ndio ule msemo mavi ya Mzungu hayanuki?
2000-2008 cuf ikipokea pesa za waarabu ili kuandamana. nchi ikakumbwa na wasiwasi mkubwa. uvumi wa ugaidi ukaenea kila upande. nakumbuka hata balozi wa nchi za magaharibi alitoa nasaha UDSM kwenye kanisa kwa watanzania kuigopa cuf ni chama kinachopata misaada kutoka uarabuni. aliwataka watanzania wasidanganyike, aliwataka kuwa makini na CUF
lkn sasa imekuja chadema, kinapata ufadhili kutoka mataifa ya kizungu mpka majina yametajwa kwenye vyombo vya habri kufanya maandamano huku ccm ikiwatahadaharisha wananchi.sasa wenye uchungu na nchi tunakumbuka matamko ya wazungu juuya Cuf. lkn pia tunangalia taifa linaelekea wapi juu pesa za wazungu kwa chadema
jee taifa nilaekea wapi? au ndio ule msemo mavi ya Mzungu hayanuki?
Wapi hukoHapo sasa!
Kama kunuka wa kwanza angekuwa Kikwete maana kila leo yuko kwa wazungu.2000-2008 cuf ikipokea pesa za waarabu ili kuandamana. nchi ikakumbwa na wasiwasi mkubwa. uvumi wa ugaidi ukaenea kila upande. nakumbuka hata balozi wa nchi za magaharibi alitoa nasaha UDSM kwenye kanisa kwa watanzania kuigopa cuf ni chama kinachopata misaada kutoka uarabuni. aliwataka watanzania wasidanganyike, aliwataka kuwa makini na CUF
lkn sasa imekuja chadema, kinapata ufadhili kutoka mataifa ya kizungu mpka majina yametajwa kwenye vyombo vya habri kufanya maandamano huku ccm ikiwatahadaharisha wananchi.sasa wenye uchungu na nchi tunakumbuka matamko ya wazungu juuya Cuf. lkn pia tunangalia taifa linaelekea wapi juu pesa za wazungu kwa chadema
jee taifa nilaekea wapi? au ndio ule msemo mavi ya Mzungu hayanuki?
Tell them bro.Acheni unafiki uliopindukia. CCM imekuwa ikipokea misaada ya fedha kutoka kotekote, mashariki na magharibi toka kwenye "Vyama Rafiki" bila ya matatizo yoyote.
Ila chama kingine chochote kinachopinga sera mbovu za CCM wakipewa msaada hata kama ni kidogo vipi ni "Uhaini".
Kwanza hizo fedha mnazosema zinatoka nchi za magharibi ni kiasi gani na zinafanya kazi ipi maana kama ni maandamano sijaona watu wabebwe kwa magari ya kukodi au "Kujitolea", wagawiwe hata chupa za maji au vilemba kama inavyofanya CCM. Kwa uzoefu wangu watu huhamasika kwenda kwenye maandamano ya CDM bila ya hata kujiuliza watapata nini. Kwa maoni yangu CCM ndiyo mabingwa wa kutumia fedha chafu kwa minajili ya kujinufaisha kisiasa. Hatujaambiwa zile Helikopta JK alizokuwa akipasua nazo anga zilikuwa mali ya nani na alilipwaje? Na gharama za fulana, vilemba, tai, khanga, vitenge (Ambavyo hadi sasa tunadekia) bila kuhesabu mabango nchi nzima mpaka kijijini alikozaliwa Kikwete (Ambako wanamfahamu vema) nani alizilipa na kwa makubaliano yepi? Na vipi sheria ya gharama za uchaguzi; walitungiwa wapinzani tu? Mbona CCM ilizivuka na hatusikii lolote hadi leo?
ha ha ha ha ha ha--Kama kunuka wa kwanza angekuwa Kikwete maana kila leo yuko kwa wazungu.
jamani hizo siasa zenu mnakotupeleka siko sasa,kama chadema wanapata pesa kutoka nje mnataka serikali ikae kimyaaaa?hata nao wakibahaatika wakaingia madarakani mchezo utakuwa ni huo huo...ila penye ukweli inatakiwa serikali iingilie kati na kusema...nawasilisha
jamani hizo siasa zenu mnakotupeleka siko sasa,kama chadema wanapata pesa kutoka nje mnataka serikali ikae kimyaaaa?hata nao wakibahaatika wakaingia madarakani mchezo utakuwa ni huo huo...ila penye ukweli inatakiwa serikali iingilie kati na kusema...nawasilisha