Giddy Mangi
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 830
- 184
Imenipatia wakati Mgumu ghafla baada ya kupokea simu na kuulizwa kama ninaweza kukodisha lorry langu na kupeleka Karatasi za kupigia kura Igunga,huku masharti ya kazi hiyo ni pamoja na uzito ni Tone 2.5,usafiri lazima uwe Fuso na bei isizidi Million 1 laki 2.
Huwezi amini hii kazi amepewa mtu tena dalali asiye na gari wala kampuni iliyo sajiliwa kisheria.Biafra Kinondoni na anatafuta usafiri usiku huu.Tume hii ni aibu kwa Serikali inayotumia Helcopter 2 kwenye campaign lakini inakuja na budget ya kubeba nyaraka muhimu kama karatasi za kupigia kura.
Kwanini isingetumia shirika la Posta kama Tume halina magari ya kufanya kazi hiyo.
Huwezi amini hii kazi amepewa mtu tena dalali asiye na gari wala kampuni iliyo sajiliwa kisheria.Biafra Kinondoni na anatafuta usafiri usiku huu.Tume hii ni aibu kwa Serikali inayotumia Helcopter 2 kwenye campaign lakini inakuja na budget ya kubeba nyaraka muhimu kama karatasi za kupigia kura.
Kwanini isingetumia shirika la Posta kama Tume halina magari ya kufanya kazi hiyo.