Hofu kubwa ya tanda CHADEMA utendaji wa baraza jipya la mawaziri

Mbona wote uliowataja Hawana Jipya!! Kama muhungo Yuko juu, Atuokoe kwenye Janga la IPTL na fidia ya DOWANS
 
Pro Muhongo huyu huyu muhongo, Magufuri alieuza nyumba zetu, bado ana kesi ya kujibu. Kagasheki aliekula dili UN na mtoto wa KOFFI ANNAN wakamtimua, CCM hamna kiongozi wote ni waganga njaa tu
 
kiongozi wala hata usijifariji nguvu ya umma ishawatoa kamasi. Utendaji gani zaidi ya kutekeleza wajibu wao? Sijaona jipya hapo
 
Kifo cha CCM hakiwezi kuepushwa na Kagasheki na Prof Muhongo. CCM kama chama wamechelewa sana kuchukua hatua. RADAR, EPA, BUZWAGI, MEREMETA, RICHMOND, MAJENGO PACHA BOT, MABILIONI YA USWISI....

Umesahau safari nyingi za Kijkwwete na washikaji wake zisizo na tija zinazoifilisi nchi
 
tunachotaka viongozi wote wawewawajibikaji nasio mmojammoja wa kumtafuta kwa kurunzi........ viongozi kibao ni vihio........ thn wewe unawataja hao wachache tu............patapicha kama rais angekuwa Slaa......... waziri mkuu Mbowe......... wanasheria mkuu Lissu........... spika .....Mabere...........waziri wa nishati na madini Zitto........... hii nchi si ingekuwa mahali salama pakuishi,,,,,,,,,,,
 
Chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA kineingiwa na hofu kubwa kufuatia utendaji wa baraza jipya la mawaziri ambao kwa kiwango kikubwa uteuzi wake ulitokana na hoja za CHADEMA kuhusu utendaji mbovu wa baadhi ya mawaziri vijana.

Hata hivyo wana nchi walio wengi sasa wamerudisha kwa kasi imani yao kwa serikali na wana matarajio makubwa hasa Mhe. Muhongo Mh Tibaijuka, Mh. Mwakyembe na Mh Kagasheki.

Wakazi wa Kibaha ndo walitoa mpya juzi baada ya kukili kuwa itakuwa ni kichekesho kuitoa CCM madarakani na kumfanya Magufuli na Muhongo warudi nyumbani eti sasa Sugu la Lema ndo wawe mawaziri. Lakini wachambuzi wa CHADEMA wamekuwa wakisema kuna udhaifu mwingine wa CCM ingeachwa ili utumike wakati wa Uchauzi vinginevyo ni kuwaamsha CCM

Njaa mbaya sana endelea kutumika.time will tell
 
Huyu mleta mada anataka ku-divert attention ili watu wasifuatilie minyukano huko Dodoma!
 
1. Daraja la kigamboni
2. Mabasi yandayo kwa kasi
3. Barabara nzuri zinajengwa
4. Hospital mpya itakayo malizika mwaka 2014 ya kimataifa ambayo itakuwa na kiwanja cha ndege.
5. Katiba mpya
6. Vitambulisho vya uraia
7. Miradi ya gesi
8. Mpaka wa Malawi na TZ
Na mengine mengi tu.
Hata ukibeza sisi tunaona
Nomba tuwatie moyo viongozi wetu wanajitahidi sana.
sema yote usemayo lakini Chadema itabaki kuwa chama cha upinzani ili kukosoa serikali.
 
huu ni ukweli fika,"Kifo cha CCM hakiwezi kuepushwa na Kagasheki na Prof Muhongo. CCM kama chama wamechelewa sana kuchukua hatua. RADAR, EPA, BUZWAGI, MEREMETA, RICHMOND, MAJENGO PACHA BOT, MABILIONI YA USWISI....pia na mikataba mibovu ki:rockon:la secta.
 
1. Daraja la kigamboni
2. Mabasi yandayo kwa kasi
3. Barabara nzuri zinajengwa
4. Hospital mpya itakayo malizika mwaka 2014 ya kimataifa ambayo itakuwa na kiwanja cha ndege.
5. Katiba mpya
6. Vitambulisho vya uraia
7. Miradi ya gesi
8. Mpaka wa Malawi na TZ
Na mengine mengi tu.
Hata ukibeza sisi tunaona
Nomba tuwatie moyo viongozi wetu wanajitahidi sana.
sema yote usemayo lakini Chadema itabaki kuwa chama cha upinzani ili kukosoa serikali.

1.Daraja la Kigamboni litakuwa linahudumia Watanzania wangapi? Tanzania inao watu zaidi ya mil.40 halafu wewe unaagalia utendaji wa serikali kwa daraja la Kigamboni? Sijui ulitaka kusema nini lakini ni wazi watu wanateseka na miundo mbinu mibovu. Watato wanauawa na wanayama pori wakiwa wanatembea mwendo mrefu kwenda shule, wanauawa na mafuriko kwani hmana madaraja kwa uchache.

2.Barabara nzuri zenye viwango duni ambazo baada ya muda zinafanyiwa ukarabato mkubwa kwa pesa za walipa kodi. Wanaoharibu ni viongozi na wapambe wao ambao wanapitisha tracks wanazomiliki wao na wapambe wao badala ya kujenga reli na kouboresha zilizopo. Barabara nzuri waulize Kenya na Ethiopia

3. Mabasi yaendayo kwa kasi-soma number 1 nshakujibu

4. Huitaji kujibiwa maana hiyo ni kujenga kasiri angani tena unaema ya kimtaifa sio ya wananchi ambao hawwezi kumudu panadol
5. Katiba Mpya- Watanzania sio zezeta tunajua ni chama/vyama vipi vimepiga kelele mpaka CCM waka surrender. VIZA CDM, CUF na wanaharakati

Mengine ni pesa yetu na mengine hayatekelelezeki
 
almasiomary
Today 08:06
#1

Member
Array
Join Date : 10th September 2012
Posts : 61
Rep Power : 102
Likes Received:
5
Likes Given:
0
 
nena pale mtaa wa kongo(k/koo) afu kawaulive wafanyabiashara wadogo juu ya utekelezaji wa kauli mbiu ya MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA nina uhakika majibu utakayopata yatakupa mwanga mzuri juu ya nafasi watakayokuwa nayo CCM katika uchaguzi wa 2015
 
1.Daraja la Kigamboni litakuwa linahudumia Watanzania wangapi? Tanzania inao watu zaidi ya mil.40 halafu wewe unaagalia utendaji wa serikali kwa daraja la Kigamboni? Sijui ulitaka kusema nini lakini ni wazi watu wanateseka na miundo mbinu mibovu. Watato wanauawa na wanayama pori wakiwa wanatembea mwendo mrefu kwenda shule, wanauawa na mafuriko kwani hmana madaraja kwa uchache.

2.Barabara nzuri zenye viwango duni ambazo baada ya muda zinafanyiwa ukarabato mkubwa kwa pesa za walipa kodi. Wanaoharibu ni viongozi na wapambe wao ambao wanapitisha tracks wanazomiliki wao na wapambe wao badala ya kujenga reli na kouboresha zilizopo. Barabara nzuri waulize Kenya na Ethiopia

3. Mabasi yaendayo kwa kasi-soma number 1 nshakujibu

4. Huitaji kujibiwa maana hiyo ni kujenga kasiri angani tena unaema ya kimtaifa sio ya wananchi ambao hawwezi kumudu panadol
5. Katiba Mpya- Watanzania sio zezeta tunajua ni chama/vyama vipi vimepiga kelele mpaka CCM waka surrender. VIZA CDM, CUF na wanaharakati

Mengine ni pesa yetu na mengine hayatekelelezeki
Sina mda wa kujibishana na wewe mkimbizi.
 
Kifo cha CCM hakiwezi kuepushwa na Kagasheki na Prof Muhongo. CCM kama chama wamechelewa sana kuchukua hatua. RADAR, EPA, BUZWAGI, MEREMETA, RICHMOND, MAJENGO PACHA BOT, MABILIONI YA USWISI....

Naongeza

Mfumo mbovu wa uongozi wa BMW
 
Mtu wa Kibaha unategemea anafahamu nini zaidi ya kupiga domo na kidumu kidumu! Mara ngapi tumemwuliza Kagasheki kuhusu Ngorongoro kwamba je ni mali ya ccm au la na hajajibu (Ile ni mali ya ccm wamewaibia watanzania) Tibaijuka hayo majengo na viwanja vya mpira tuliyoyajenga wote miaka kibao leo yamekuwa mali ya ccm hapo unamtetea kwa lipi? Mwakyembe kamfichia jk siri ya richmond magamba hawachomoki!
 
Back
Top Bottom