Uchaguzi 2020 Hofu kubwa kwa wana CCM juu ya Lissu, wanafahamu wazi kabisa Lissu sio kondoo kama Lowassa

WanaCCM wanapiga propaganda ili ionekane Lisu atakatwa jina lake, lakini niwadhihirishie hizo zitabaki kuwa propaganda na kama Lisu akipitishwa na chama hawana uwezo wakukata jina lake huko tume CCM, CCMnawatahadharisha Lissu siyo kondoo kamaa mzee Lowassa anajua namna yakudai haki yake

Uongozi wa Magufuli mnasema umenunua ndege, umejenga fly over, umejenga viwanja vya ndege Chato, umewasamehe wakina Lugola ubadhirifu, umejenga meli, umejenga barabara, umefanya maendeleo kedekede, tunachohitaji nendeni mkawaeleze wananchi mliyoyafanya wawape tena 5 nyingine. Lakini kutegemea Lissu asigombee tume CCM haiwezi wasaidia.

Sisi tunaenda na Lissu tuu, na CHADEMA tunamuhitaji Lissu heri tushindwe tupigwe mabomu tukiwa na Lissu, kama mnahitaji chama kife msimpitishe Lissu kuwa mgombea wenu

Nawatahadharisha tu CCM, Lissu sio kondoo kama mzee Lowassa anajua kuidai haki.
Lisu amekiri mwenyewe, haki isipotendeka hakuna neno (kumwachia Mungu)
 
CCM utendaji mwingi ni kuchukua pesa za walipa kodi kwenda kujenga chato Airport kienyeji pasipo idhini ya bunge, utendaji mwingi ni kuwabambikia kesi kesi wapinzani, utendaji mwingi ni kuwahujumu kuwabambikia kesi kesi chadema
Wakat mwingine ni bora ukae kimya tu kwani Chato ikijengwa shida iko wapi? mimi kwetu kaskazini lakini siko huko leo nafaidika na maendeleo ya sehemu niliopo.
 
..changamoto za kiafya zilikuwa zinamzuia Mzee Lowassa kuongea majukwaani na kufanya kampeni.

..TL akifanya kampeni za kisasa na za nguvu anaweza kuwatoa kimasomaso wapinzani.
 
WanaCCM wanapiga propaganda ili ionekane Lisu atakatwa jina lake, lakini niwadhihirishie hizo zitabaki kuwa propaganda na kama Lisu akipitishwa na chama hawana uwezo wakukata jina lake huko tume CCM, CCMnawatahadharisha Lissu siyo kondoo kamaa mzee Lowassa anajua namna yakudai haki yake

Uongozi wa Magufuli mnasema umenunua ndege, umejenga fly over, umejenga viwanja vya ndege Chato, umewasamehe wakina Lugola ubadhirifu, umejenga meli, umejenga barabara, umefanya maendeleo kedekede, tunachohitaji nendeni mkawaeleze wananchi mliyoyafanya wawape tena 5 nyingine. Lakini kutegemea Lissu asigombee tume CCM haiwezi wasaidia.

Sisi tunaenda na Lissu tuu, na CHADEMA tunamuhitaji Lissu heri tushindwe tupigwe mabomu tukiwa na Lissu, kama mnahitaji chama kife msimpitishe Lissu kuwa mgombea wenu

Nawatahadharisha tu CCM, Lissu sio kondoo kama mzee Lowassa anajua kuidai haki.
Kabisa kabisa Mkuu, n.g.u.r.u.w.e wa lumumba WANATAPATAPA tu sasahivi.
 
Hongera nabii wetu
WanaCCM wanapiga propaganda ili ionekane Lisu atakatwa jina lake, lakini niwadhihirishie hizo zitabaki kuwa propaganda na kama Lisu akipitishwa na chama hawana uwezo wakukata jina lake huko tume CCM, CCMnawatahadharisha Lissu siyo kondoo kamaa mzee Lowassa anajua namna yakudai haki yake

Uongozi wa Magufuli mnasema umenunua ndege, umejenga fly over, umejenga viwanja vya ndege Chato, umewasamehe wakina Lugola ubadhirifu, umejenga meli, umejenga barabara, umefanya maendeleo kedekede, tunachohitaji nendeni mkawaeleze wananchi mliyoyafanya wawape tena 5 nyingine. Lakini kutegemea Lissu asigombee tume CCM haiwezi wasaidia.

Sisi tunaenda na Lissu tuu, na CHADEMA tunamuhitaji Lissu heri tushindwe tupigwe mabomu tukiwa na Lissu, kama mnahitaji chama kife msimpitishe Lissu kuwa mgombea wenu

Nawatahadharisha tu CCM, Lissu sio kondoo kama mzee Lowassa anajua kuidai haki.
 
Mitaani kote ni Tundu Lissu tu. Watanzania wanamkubali sana. Ama kwa hakika atashinda kwa kishindo hiyo October 28.
 
WanaCCM wanapiga propaganda ili ionekane Lisu atakatwa jina lake, lakini niwadhihirishie hizo zitabaki kuwa propaganda na kama Lisu akipitishwa na chama hawana uwezo wakukata jina lake huko tume CCM, CCMnawatahadharisha Lissu siyo kondoo kamaa mzee Lowassa anajua namna yakudai haki yake

Uongozi wa Magufuli mnasema umenunua ndege, umejenga fly over, umejenga viwanja vya ndege Chato, umewasamehe wakina Lugola ubadhirifu, umejenga meli, umejenga barabara, umefanya maendeleo kedekede, tunachohitaji nendeni mkawaeleze wananchi mliyoyafanya wawape tena 5 nyingine. Lakini kutegemea Lissu asigombee tume CCM haiwezi wasaidia.

Sisi tunaenda na Lissu tuu, na CHADEMA tunamuhitaji Lissu heri tushindwe tupigwe mabomu tukiwa na Lissu, kama mnahitaji chama kife msimpitishe Lissu kuwa mgombea wenu

Nawatahadharisha tu CCM, Lissu sio kondoo kama mzee Lowassa anajua kuidai haki.
Oktoba 28 ni kesho tu. Ushindi kwa Magufuli ni dhahiri. Ya nini kuandika mate na wino upo?
 
WanaCCM wanapiga propaganda ili ionekane Lisu atakatwa jina lake, lakini niwadhihirishie hizo zitabaki kuwa propaganda na kama Lisu akipitishwa na chama hawana uwezo wakukata jina lake huko tume CCM, CCMnawatahadharisha Lissu siyo kondoo kamaa mzee Lowassa anajua namna yakudai haki yake

Uongozi wa Magufuli mnasema umenunua ndege, umejenga fly over, umejenga viwanja vya ndege Chato, umewasamehe wakina Lugola ubadhirifu, umejenga meli, umejenga barabara, umefanya maendeleo kedekede, tunachohitaji nendeni mkawaeleze wananchi mliyoyafanya wawape tena 5 nyingine. Lakini kutegemea Lissu asigombee tume CCM haiwezi wasaidia.

Sisi tunaenda na Lissu tuu, na CHADEMA tunamuhitaji Lissu heri tushindwe tupigwe mabomu tukiwa na Lissu, kama mnahitaji chama kife msimpitishe Lissu kuwa mgombea wenu

Nawatahadharisha tu CCM, Lissu sio kondoo kama mzee Lowassa anajua kuidai haki.
Yaani hicho kichwa cha habari kina idhalilisha Chadema ,kwa hiyo 2015 akina Lissu,Mdee,Mbowe,Mnyika,Msigwa,Sugu,Professor Jay walikuwa wana mpamba na kumpigia kampeni Kondoo achukue nchi.
 
..changamoto za kiafya zilikuwa zinamzuia Mzee Lowassa kuongea majukwaani na kufanya kampeni.

..TL akifanya kampeni za kisasa na za nguvu anaweza kuwatoa kimasomaso wapinzani.
Mkuu Nec wanataka kuitengea penalty ccm, lkn hawayofanikiwa.
 
Back
Top Bottom