Uchaguzi 2020 Hofu kubwa kwa wana CCM juu ya Lissu, wanafahamu wazi kabisa Lissu sio kondoo kama Lowassa

Nina uhakika leo kwa jinsi unavyoendelea ' Kujibizana ' hivi nami basi hata ID yako nayo ' itapaa ' na ' Members ' wataijua na nitakuinua vyema pia.
Hahaha Gentamycine bwana! Umeshamaliza msiba wa baba yako huko masasi?
 
Lissu atasaidia tu kumpa ' Changamoto ' za ' Kimjadala ' Rais JPM na CCM yake, ila kwa Suala zima la Yeye kuwa Rais nchini Tanzania hilo lisahau.

Hiyo changamoto atakayompa JPM inaonekana pia ccm hawataki kuiona...
 
CCM wanajinadi wameleta maendeleo lakini cha ajabu wanamuogopa Tundu lisu mpaka kupelekea kutaka afungwe na mahakamaccm akaambukizwe Corona iliyoandaliwa na cyprian Musiba huko magerezaccm afariki iwe kafara yao, kama CCM mnaamini mmeleta maendeleo iweje kuhangaika kumhujumu kudhoofisha chadema kwa ngumu ya mahakamaccm?
kuna interview moja amefanya na mwanchi digital, amewavua nguo ccm namsubiri kwa hamu sana kwenye kampeni azidi kuwaonyesha walivyo weupe.
 
Lissu atasaidia tu kumpa ' Changamoto ' za ' Kimjadala ' Rais JPM na CCM yake, ila kwa Suala zima la Yeye kuwa Rais nchini Tanzania hilo lisahau.
Wewe kama nani? Una kura moja kama MTU mwingine yeyote, hivyo tuache uchaguzi uwe huru na haki kisha tuone maamuzi ya RAIA.
Tuone wanataka nini? SGR au huduma bora za maji? Mandege au ajira kwa vijana?
 
Huyo Lisu anatakiwa mahakamani kwa kuruka dhamana. Nampa pole kwani anaweza kufanyia kampeni zake gerek
WanaCCM wanapiga propaganda ili ionekane Lisu atakatwa jina lake, lakini niwadhihirishie hizo zitabaki kuwa propaganda na kama Lisu akipitishwa na chama hawana uwezo wakukata jina lake huko tume CCM, CCMnawatahadharisha Lissu siyo kondoo kamaa mzee Lowassa anajua namna yakudai haki yake

Uongozi wa Magufuli mnasema umenunua ndege, umejenga fly over, umejenga viwanja vya ndege Chato, umewasamehe wakina Lugola ubadhirifu, umejenga meli, umejenga barabara, umefanya maendeleo kedekede, tunachohitaji nendeni mkawaeleze wananchi mliyoyafanya wawape tena 5 nyingine. Lakini kutegemea Lissu asigombee tume CCM haiwezi wasaidia.

Sisi tunaenda na Lissu tuu, na CHADEMA tunamuhitaji Lissu heri tushindwe tupigwe mabomu tukiwa na Lissu, kama mnahitaji chama kife msimpitishe Lissu kuwa mgombea wenu

Nawatahadharisha tu CCM, Lissu sio kondoo kama mzee Lowassa anajua kuidai haki.
Magufuli hana pa kutokea kabananishwa kila kona na lissu hata usalama wa nchi yeti wanaakili na macho na utashi wataamua kuiingiza nchi kwenye majanga au kulitelekeza jiwe baharini😁😁😁😁😁😁
 
WanaCCM wanapiga propaganda ili ionekane Lisu atakatwa jina lake, lakini niwadhihirishie hizo zitabaki kuwa propaganda na kama Lisu akipitishwa na chama hawana uwezo wakukata jina lake huko tume CCM, CCMnawatahadharisha Lissu siyo kondoo kamaa mzee Lowassa anajua namna yakudai haki yake

Uongozi wa Magufuli mnasema umenunua ndege, umejenga fly over, umejenga viwanja vya ndege Chato, umewasamehe wakina Lugola ubadhirifu, umejenga meli, umejenga barabara, umefanya maendeleo kedekede, tunachohitaji nendeni mkawaeleze wananchi mliyoyafanya wawape tena 5 nyingine. Lakini kutegemea Lissu asigombee tume CCM haiwezi wasaidia.

Sisi tunaenda na Lissu tuu, na CHADEMA tunamuhitaji Lissu heri tushindwe tupigwe mabomu tukiwa na Lissu, kama mnahitaji chama kife msimpitishe Lissu kuwa mgombea wenu

Nawatahadharisha tu CCM, Lissu sio kondoo kama mzee Lowassa anajua kuidai haki.

Kwanini unawazungumzia CCM. Umeingia mioyoni mwao. Mpiga Kelele ndo mwenye hofu.
 
Wewe kama nani? Una kura moja kama MTU mwingine yeyote, hivyo tuache uchaguzi uwe huru na haki kisha tuone maamuzi ya RAIA.
Tuone wanataka nini? SGR au huduma bora za maji? Mandege au ajira kwa vijana?

Mimi kama GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE a.k.a ' Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer ' au Wewe ulikuwa haulijui?
 
WanaCCM wanapiga propaganda ili ionekane Lisu atakatwa jina lake, lakini niwadhihirishie hizo zitabaki kuwa propaganda na kama Lisu akipitishwa na chama hawana uwezo wakukata jina lake huko tume CCM, CCMnawatahadharisha Lissu siyo kondoo kamaa mzee Lowassa anajua namna yakudai haki yake

Uongozi wa Magufuli mnasema umenunua ndege, umejenga fly over, umejenga viwanja vya ndege Chato, umewasamehe wakina Lugola ubadhirifu, umejenga meli, umejenga barabara, umefanya maendeleo kedekede, tunachohitaji nendeni mkawaeleze wananchi mliyoyafanya wawape tena 5 nyingine. Lakini kutegemea Lissu asigombee tume CCM haiwezi wasaidia.

Sisi tunaenda na Lissu tuu, na CHADEMA tunamuhitaji Lissu heri tushindwe tupigwe mabomu tukiwa na Lissu, kama mnahitaji chama kife msimpitishe Lissu kuwa mgombea wenu

Nawatahadharisha tu CCM, Lissu sio kondoo kama mzee Lowassa anajua kuidai haki.
Keep record straight, lowasa hakuwa kondoo, Lowasa alikuja kuuvuruga upinzani tu
 
Hakikisheni tu bao la mkono halifungwi, CHADEMA inashinda kupitia kamanda Lissu October mapema asubuhi.
WanaCCM wanapiga propaganda ili ionekane Lisu atakatwa jina lake, lakini niwadhihirishie hizo zitabaki kuwa propaganda na kama Lisu akipitishwa na chama hawana uwezo wakukata jina lake huko tume CCM, CCMnawatahadharisha Lissu siyo kondoo kamaa mzee Lowassa anajua namna yakudai haki yake

Uongozi wa Magufuli mnasema umenunua ndege, umejenga fly over, umejenga viwanja vya ndege Chato, umewasamehe wakina Lugola ubadhirifu, umejenga meli, umejenga barabara, umefanya maendeleo kedekede, tunachohitaji nendeni mkawaeleze wananchi mliyoyafanya wawape tena 5 nyingine. Lakini kutegemea Lissu asigombee tume CCM haiwezi wasaidia.

Sisi tunaenda na Lissu tuu, na CHADEMA tunamuhitaji Lissu heri tushindwe tupigwe mabomu tukiwa na Lissu, kama mnahitaji chama kife msimpitishe Lissu kuwa mgombea wenu

Nawatahadharisha tu CCM, Lissu sio kondoo kama mzee Lowassa anajua kuidai haki.
Huyo Lisu anatakiwa mahakamani kwa kuruka dhamana. Nampa pole kwani anaweza kufanyia kampeni zake gerezani
Usiofu hata Mandela alitokea huko huko gerezani
Hicho ndio tunachokitaka
Huu ujinga wa kuwakomoa watu kifala fala kwa kesi za kubambikiwa kwenye mahakamaccm ndiyo umempa umarufu Tundu lisu na kadri mnavyoendelea na ujinga wenu ndivyo mnazidi kumfanyia promo zaidi
CCM wanajinadi wameleta maendeleo lakini cha ajabu wanamuogopa Tundu lisu mpaka kupelekea kutaka afungwe na mahakamaccm akaambukizwe Corona iliyoandaliwa na cyprian Musiba huko magerezaccm afariki iwe kafara yao, kama CCM mnaamini mmeleta maendeleo iweje kuhangaika kumhujumu kudhoofisha chadema kwa ngumu ya mahakamaccm?
Lissu atasaidia tu kumpa ' Changamoto ' za ' Kimjadala ' Rais JPM na CCM yake, ila kwa Suala zima la Yeye kuwa Rais nchini Tanzania hilo lisahau.
CCM si mmjenga Reli, barabara, bwawa la umeme, Hosptal mmeleta maendeleo tumieni hayo kuomba kura, ni kwa nini hamuamini kuwa hivyo vinatosha kuwapa kura mpaka mnaenda kumhujumu Tundu lisu?
Lissu sio mtu wa kukubali kirahisi anaweza alete taharuki baada ya uchaguzi
 
Upinzani ungekuwa mzuri sana kama ingelikuwa wanahaidi ni kitu gani watakwenda kuwafanyie watanzania.
Ikiwa mtajikit kukosoa maendeleo yaliyofanywa na Rais JPM hakika mtaendeshindwa vibaya sana.

Mkae mkijua, watanzania sasa hivi wamechoka siasa wanataka vitendo, siasa za maneno matamu zimefanywa sana miaka hiyo, kipindi hiki tunataka maneno machache utendaji mwingi.
 
Upinzani ungekuwa mzuri sana kama ingelikuwa wanahaidi ni kitu gani watakwenda kuwafanyie watanzania.
Ikiwa mtajikit kukosoa maendeleo yaliyofanywa na Rais JPM hakika mtaendeshindwa vibaya sana.

Mkae mkijua, watanzania sasa hivi wamechoka siasa wanataka vitendo, siasa za maneno matamu zimefanywa sana miaka hiyo, kipindi hiki tunataka maneno machache utendaji mwingi.
CCM utendaji mwingi ni kuchukua pesa za walipa kodi kwenda kujenga chato Airport kienyeji pasipo idhini ya bunge, utendaji mwingi ni kuwabambikia kesi kesi wapinzani, utendaji mwingi ni kuwahujumu kuwabambikia kesi kesi chadema
 
Back
Top Bottom