hata wapambe wa iddi amini walikuwa wakisema hivihiviHuyo Lisu anatakiwa mahakamani kwa kuruka dhamana. Nampa pole kwani anaweza kufanyia kampeni zake gerezani
hata wapambe wa iddi amini walikuwa wakisema hivihiviHuyo Lisu anatakiwa mahakamani kwa kuruka dhamana. Nampa pole kwani anaweza kufanyia kampeni zake gerezani
Usijipe umuhimu usiokuwa nao.
Hahaha Gentamycine bwana! Umeshamaliza msiba wa baba yako huko masasi?Nina uhakika leo kwa jinsi unavyoendelea ' Kujibizana ' hivi nami basi hata ID yako nayo ' itapaa ' na ' Members ' wataijua na nitakuinua vyema pia.
Lissu atasaidia tu kumpa ' Changamoto ' za ' Kimjadala ' Rais JPM na CCM yake, ila kwa Suala zima la Yeye kuwa Rais nchini Tanzania hilo lisahau.
Hahaha Gentamycine bwana! Umeshamaliza msiba wa baba yako huko masasi?
Baba yangu?? Sina baba mimi wa ccm.Kwani na Wewe ' Kikatiba ' Hayati huyo wa Lupaso Masasi Mkoani Mtwara hakuwa Baba yako pia? Acha ' Ubwege ' na ' Upimbi ' tafadhali sawa?
kuna interview moja amefanya na mwanchi digital, amewavua nguo ccm namsubiri kwa hamu sana kwenye kampeni azidi kuwaonyesha walivyo weupe.CCM wanajinadi wameleta maendeleo lakini cha ajabu wanamuogopa Tundu lisu mpaka kupelekea kutaka afungwe na mahakamaccm akaambukizwe Corona iliyoandaliwa na cyprian Musiba huko magerezaccm afariki iwe kafara yao, kama CCM mnaamini mmeleta maendeleo iweje kuhangaika kumhujumu kudhoofisha chadema kwa ngumu ya mahakamaccm?
Wewe kama nani? Una kura moja kama MTU mwingine yeyote, hivyo tuache uchaguzi uwe huru na haki kisha tuone maamuzi ya RAIA.Lissu atasaidia tu kumpa ' Changamoto ' za ' Kimjadala ' Rais JPM na CCM yake, ila kwa Suala zima la Yeye kuwa Rais nchini Tanzania hilo lisahau.
Huyo Lisu anatakiwa mahakamani kwa kuruka dhamana. Nampa pole kwani anaweza kufanyia kampeni zake gerek
Magufuli hana pa kutokea kabananishwa kila kona na lissu hata usalama wa nchi yeti wanaakili na macho na utashi wataamua kuiingiza nchi kwenye majanga au kulitelekeza jiwe baharini😁😁😁😁😁😁WanaCCM wanapiga propaganda ili ionekane Lisu atakatwa jina lake, lakini niwadhihirishie hizo zitabaki kuwa propaganda na kama Lisu akipitishwa na chama hawana uwezo wakukata jina lake huko tume CCM, CCMnawatahadharisha Lissu siyo kondoo kamaa mzee Lowassa anajua namna yakudai haki yake
Uongozi wa Magufuli mnasema umenunua ndege, umejenga fly over, umejenga viwanja vya ndege Chato, umewasamehe wakina Lugola ubadhirifu, umejenga meli, umejenga barabara, umefanya maendeleo kedekede, tunachohitaji nendeni mkawaeleze wananchi mliyoyafanya wawape tena 5 nyingine. Lakini kutegemea Lissu asigombee tume CCM haiwezi wasaidia.
Sisi tunaenda na Lissu tuu, na CHADEMA tunamuhitaji Lissu heri tushindwe tupigwe mabomu tukiwa na Lissu, kama mnahitaji chama kife msimpitishe Lissu kuwa mgombea wenu
Nawatahadharisha tu CCM, Lissu sio kondoo kama mzee Lowassa anajua kuidai haki.
WanaCCM wanapiga propaganda ili ionekane Lisu atakatwa jina lake, lakini niwadhihirishie hizo zitabaki kuwa propaganda na kama Lisu akipitishwa na chama hawana uwezo wakukata jina lake huko tume CCM, CCMnawatahadharisha Lissu siyo kondoo kamaa mzee Lowassa anajua namna yakudai haki yake
Uongozi wa Magufuli mnasema umenunua ndege, umejenga fly over, umejenga viwanja vya ndege Chato, umewasamehe wakina Lugola ubadhirifu, umejenga meli, umejenga barabara, umefanya maendeleo kedekede, tunachohitaji nendeni mkawaeleze wananchi mliyoyafanya wawape tena 5 nyingine. Lakini kutegemea Lissu asigombee tume CCM haiwezi wasaidia.
Sisi tunaenda na Lissu tuu, na CHADEMA tunamuhitaji Lissu heri tushindwe tupigwe mabomu tukiwa na Lissu, kama mnahitaji chama kife msimpitishe Lissu kuwa mgombea wenu
Nawatahadharisha tu CCM, Lissu sio kondoo kama mzee Lowassa anajua kuidai haki.
Wewe kama nani? Una kura moja kama MTU mwingine yeyote, hivyo tuache uchaguzi uwe huru na haki kisha tuone maamuzi ya RAIA.
Tuone wanataka nini? SGR au huduma bora za maji? Mandege au ajira kwa vijana?
Keep record straight, lowasa hakuwa kondoo, Lowasa alikuja kuuvuruga upinzani tuWanaCCM wanapiga propaganda ili ionekane Lisu atakatwa jina lake, lakini niwadhihirishie hizo zitabaki kuwa propaganda na kama Lisu akipitishwa na chama hawana uwezo wakukata jina lake huko tume CCM, CCMnawatahadharisha Lissu siyo kondoo kamaa mzee Lowassa anajua namna yakudai haki yake
Uongozi wa Magufuli mnasema umenunua ndege, umejenga fly over, umejenga viwanja vya ndege Chato, umewasamehe wakina Lugola ubadhirifu, umejenga meli, umejenga barabara, umefanya maendeleo kedekede, tunachohitaji nendeni mkawaeleze wananchi mliyoyafanya wawape tena 5 nyingine. Lakini kutegemea Lissu asigombee tume CCM haiwezi wasaidia.
Sisi tunaenda na Lissu tuu, na CHADEMA tunamuhitaji Lissu heri tushindwe tupigwe mabomu tukiwa na Lissu, kama mnahitaji chama kife msimpitishe Lissu kuwa mgombea wenu
Nawatahadharisha tu CCM, Lissu sio kondoo kama mzee Lowassa anajua kuidai haki.
Popoma mbobezi mzukulu kitambi ng'ong'oSiitwi Gentamicin bali naitwa GENTAMYCINE tafadhali. Ni Mpumbavu ( Popoma ) tu pekee ndiyo ataamini kuwa Rais JPM na CCM yake hatoshinda!!
Wewe mpuuzi mzukulu acha kutishia watu hapaUtanipandisha Hasira zangu nikujibu vibaya unichukie sawa? Nimekuambia Rais Magufuli na CCM yake atashinda kwa Kishindo hutaki Kafie mbele!!
Maccm yalikuwa hayaamini kama Lisu atarejea nchiniHivi chadema bado mnaamini kuwa lissu atakuja kuwa raisi!?
Hata mamaako anaamini hivyo.Siitwi Gentamicin bali naitwa GENTAMYCINE tafadhali. Ni Mpumbavu ( Popoma ) tu pekee ndiyo ataamini kuwa Rais JPM na CCM yake hatoshinda!!
WanaCCM wanapiga propaganda ili ionekane Lisu atakatwa jina lake, lakini niwadhihirishie hizo zitabaki kuwa propaganda na kama Lisu akipitishwa na chama hawana uwezo wakukata jina lake huko tume CCM, CCMnawatahadharisha Lissu siyo kondoo kamaa mzee Lowassa anajua namna yakudai haki yake
Uongozi wa Magufuli mnasema umenunua ndege, umejenga fly over, umejenga viwanja vya ndege Chato, umewasamehe wakina Lugola ubadhirifu, umejenga meli, umejenga barabara, umefanya maendeleo kedekede, tunachohitaji nendeni mkawaeleze wananchi mliyoyafanya wawape tena 5 nyingine. Lakini kutegemea Lissu asigombee tume CCM haiwezi wasaidia.
Sisi tunaenda na Lissu tuu, na CHADEMA tunamuhitaji Lissu heri tushindwe tupigwe mabomu tukiwa na Lissu, kama mnahitaji chama kife msimpitishe Lissu kuwa mgombea wenu
Nawatahadharisha tu CCM, Lissu sio kondoo kama mzee Lowassa anajua kuidai haki.
Huyo Lisu anatakiwa mahakamani kwa kuruka dhamana. Nampa pole kwani anaweza kufanyia kampeni zake gerezani
Usiofu hata Mandela alitokea huko huko gerezani
Hicho ndio tunachokitaka
Huu ujinga wa kuwakomoa watu kifala fala kwa kesi za kubambikiwa kwenye mahakamaccm ndiyo umempa umarufu Tundu lisu na kadri mnavyoendelea na ujinga wenu ndivyo mnazidi kumfanyia promo zaidi
CCM wanajinadi wameleta maendeleo lakini cha ajabu wanamuogopa Tundu lisu mpaka kupelekea kutaka afungwe na mahakamaccm akaambukizwe Corona iliyoandaliwa na cyprian Musiba huko magerezaccm afariki iwe kafara yao, kama CCM mnaamini mmeleta maendeleo iweje kuhangaika kumhujumu kudhoofisha chadema kwa ngumu ya mahakamaccm?
Lissu atasaidia tu kumpa ' Changamoto ' za ' Kimjadala ' Rais JPM na CCM yake, ila kwa Suala zima la Yeye kuwa Rais nchini Tanzania hilo lisahau.
CCM si mmjenga Reli, barabara, bwawa la umeme, Hosptal mmeleta maendeleo tumieni hayo kuomba kura, ni kwa nini hamuamini kuwa hivyo vinatosha kuwapa kura mpaka mnaenda kumhujumu Tundu lisu?
Lissu sio mtu wa kukubali kirahisi anaweza alete taharuki baada ya uchaguzi
CCM utendaji mwingi ni kuchukua pesa za walipa kodi kwenda kujenga chato Airport kienyeji pasipo idhini ya bunge, utendaji mwingi ni kuwabambikia kesi kesi wapinzani, utendaji mwingi ni kuwahujumu kuwabambikia kesi kesi chademaUpinzani ungekuwa mzuri sana kama ingelikuwa wanahaidi ni kitu gani watakwenda kuwafanyie watanzania.
Ikiwa mtajikit kukosoa maendeleo yaliyofanywa na Rais JPM hakika mtaendeshindwa vibaya sana.
Mkae mkijua, watanzania sasa hivi wamechoka siasa wanataka vitendo, siasa za maneno matamu zimefanywa sana miaka hiyo, kipindi hiki tunataka maneno machache utendaji mwingi.