Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 47,343
- 40,346
Wapi huko?
Mkuu si wanasema bank ndo ilikuwa inakiuza hicho kituo,badala ya mmiliki kushindwa kulipa deni?3.5 milioni USD. Tulimtuma Mtu Tanzania kukinunua Kwa 3.0 milion USD akakataa dau.
Dalali alizinguaMkuu si wanasema bank ndo ilikuwa inakiuza hicho kituo,badala ya mmiliki kushindwa kulipa deni?
Wamefariki kwa kugongwa na lori
Sheria ya USALAMANI inasemaje kuhusu gari kugonga Watu huko TanzaniaLori latumika kama "silaha'' kushambulia watu katika eneo la Tungi Kigamboni jijini Dar es Salaam Tanzania na kupelekea walinzi 2 kupoteza maisha huku watu wengine watano kujeruhiwa.
Sheria ya USALAMANI inasemaje kuhusu gari kugonga Watu huko Tanzania
Hii dunia haiwez kutulia mzeeTukio lingine la kuawawa kwa walinzi wa2 wa kampuni ya fort wameuawawa kwa kugongwa na lori likiendeshwa na mwenye lori hilo kwa madai ya kushindwa kulipa deni la mkopo
taarifa zaidi mitandaoni
ila wadau mbna matukio yamezidi kuwa mengi
Tunaelekea wap TanzaniaView attachment 1911092
Haya fanyeni masihara. Wazee wa kazi Taliban wameishatua Uganda. Wanasaveisavei kuangalia mazingira mazuri ya kuanzia kazi!! Daladala itakuwa inasafiri tupu toka Mbagala mpaka Kariakoo. Mtaziogopa daladala kama ukoma!!Wanaume wa Dar acheni uoga bana 🤣
wanashindwa kukikamata kichwa kisichokua na trelaMabaunsa wameshindwa kuzuia kichwa roli?Sasa wanafuga hivyo vifua vyao Nini? Vifua Kama matako ya mtoto vile.