Mel James
JF-Expert Member
- Jun 23, 2015
- 344
- 241
Amina! Sasa hivi tunaona tofauti ya utawala bora na bora utawala.Tulikuwa naye. Usimsahau Hayati Magufuli. Tulikuwa tunaelekea huko. Basi tu Mungu katuonjesha utawala unaothamini binadam wenzake. Mungu ambariki Magufuli huko aliko. Aturehemu tupate viongozi wenye vision kama yeye.