Hodo hodi wanajamvi waungwana

ngorokolo

Senior Member
Mar 3, 2021
187
239
Mie ni mgeni hapa jamvini nikikosea sitajisikia vibaya kulekebishwa na kupewa maelekezo katika kuchangia hoja mitazamo na maoni mbali mbali, nimalize kwa kuwasalimu wote kila mwana jamvi kwa lugha ya kwao, asanteni
 
karibu sana mkuu, hapa ndio JF habari zote zinanzia hapa kwingine wanaiga tu. kwanza habari yako? kama ni wa 80 uko shikamoo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom