Wewe he ni ke?wewe ni me/ke?
Habari hii bila picha hainogi, weka picha yako tukuone ...Mie ni mgeni hapa jamvini nikikosea sitajisikia vibaya kulekebishwa na kupewa maelekezo katika kuchangia hoja mitazamo na maoni mbali mbali,nimalize kwa kuwasalimu wote kila mwana jamvi kwa lugha ya kwao,asanteni
Mewewe ni me/ke?
itakuja mkuu nipe muda kidogoHabari hii bila picha hainogi, weka picha yako tukuone ...
Asante kwa malekebisho mkuuKaribu sana Mkuu!
Rekebisho la kwanza ni "KUREKEBISHWA sio KULEKEBISHWA.
Me mkuuWewe he ni ke?
asante kwa kujibu swali, karibu sana bwana mdogo...
MALEKEBISHO=MAREKEBISHO.Asante kwa malekebisho mkuu
nahili ndio kubwa, kinga nibora kuliko tibaSawa weye..
Kumbuka kuvaa barakoa kabla huja log in hapa JF.
karibu sana.
Asante broasante kwa kujibu swali, karibu sana bwana mdogo...
Mkuu kusini kuna shida ya matumizi ya r&l so tuvumilie tu mkuu uwe unafanya masahuhisho kimya kimyaMALEKEBISHO=MAREKEBISHO.
Usikute ata jina lako ni Ngolokoro sema umegeuza.Mkuu kusini kuna shida ya matumizi ya r&l so tuvumilie tu mkuu uwe unafanya masahuhisho kimya kimya