Hodiiiiiiiii, Kupiga hodi ni sifa ya muungwana.

Karibu sana Jamvini Chef Hadija.Ni matumaini yangu kuwa utatuletea vitu vipya kwa sababu wewe ni mpya humu. Ushauri wangu kwako ni kuwa uwe mpole, msikivu, mnyenyekevu na mvumilivu kwani humu jamvini kuna vichwa vichache vilivyopinda balaa kwa sababu ya michango yao iliyopinda pia. Nakutakia uanachama mwema.
 
Karibu sana Jamvini Chef Hadija.Ni matumaini yangu kuwa utatuletea vitu vipya kwa sababu wewe ni mpya humu. Ushauri wangu kwako ni kuwa uwe mpole, msikivu, mnyenyekevu na mvumilivu kwani humu jamvini kuna vichwa vichache vilivyopinda balaa kwa sababu ya michango yao iliyopinda pia. Nakutakia uanachama mwema.
nashkr kwa ushaur wako natumai ntaufanyia kaz
 
Back
Top Bottom