Hodiii, Salaam alekhum wana JF

chameleon

JF-Expert Member
Dec 4, 2013
555
170
Poleni wanajf kwa msiba wa mwanamapinduzi wa afrika Nelson Mandela aliyekubali kuendelea kukaa jela kuliko kuachiwa huru chini ya utawala wa ubaguzi wa rangi wa makaburu wa Afrika Kusini.
 
Poleni wanajf kwa msiba wa mwanamapinduzi wa afrika Nelson Mandela aliyekubali kuendelea kukaa jela kuliko kuachiwa huru chini ya utawala wa ubaguzi wa rangi wa makaburu wa Afrika Kusini.
Asante sana. Karibu sana jf.
 
karibu karibu sana bila shaka umekuja na rambirambi kabisa
 
Poleni wanajf kwa msiba wa mwanamapinduzi wa afrika Nelson Mandela aliyekubali kuendelea kukaa jela kuliko kuachiwa huru chini ya utawala wa ubaguzi wa rangi wa makaburu wa Afrika Kusini.

Karibu sana JF.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom