Hodi

download.jpg
 
Uliachana na financial services ?nikiwa kama dada yako naomba umrudie haraka sana

Kama yeye ndio alikuacha mbembeleze arudi la sivyo sitambui wifi mwingine!!!
Nimebembeleza nimeshindwa, anasema nikipata gari ndio nimtafute😀. Anadai mtoto mzuri kama yeye kupanda daladala ni kumfuja.
Kingine me nishapata mkali zaidi yake😀
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom