humblemimi
Member
- Apr 14, 2021
- 7
- 5
Natumai kwa neema ya Mungu nyote mu wazima.
Nimekuwa msomaji wa JF kwa miaka 4 sasa bila kujiunga. Leo nimeamua kujiunga ili noweze kuchangia mawazo yangu na uelewa wangu kwenye mada mbalimbali kadri Mwenyezi Mungu atakavyoniongoza.
Naomba ushirikiano wenu wanajukwaa.
Mungu awabariki sana.
Nimekuwa msomaji wa JF kwa miaka 4 sasa bila kujiunga. Leo nimeamua kujiunga ili noweze kuchangia mawazo yangu na uelewa wangu kwenye mada mbalimbali kadri Mwenyezi Mungu atakavyoniongoza.
Naomba ushirikiano wenu wanajukwaa.
Mungu awabariki sana.