S SG8 JF-Expert Member Dec 12, 2009 3,955 2,125 Nov 13, 2010 #1 Naomba mnikaribishe japo nilijiunga siku nyingi. Nimefaidika sana na jamvi na ninategemea kuendelea kufaidika na kuwafaidisha wengine
Naomba mnikaribishe japo nilijiunga siku nyingi. Nimefaidika sana na jamvi na ninategemea kuendelea kufaidika na kuwafaidisha wengine
Speaker JF-Expert Member Aug 12, 2010 6,324 2,238 Nov 15, 2010 #5 jamani,mwaka mzima bado uko kwenye u-member??? naogopa kusema karibu maana wewe ni mwenyeji zaidi yangu ati
jamani,mwaka mzima bado uko kwenye u-member??? naogopa kusema karibu maana wewe ni mwenyeji zaidi yangu ati
Katavi Platinum Member Aug 31, 2009 41,983 12,701 Nov 16, 2010 #6 Speaker said: jamani,mwaka mzima bado uko kwenye u-member??? naogopa kusema karibu maana wewe ni mwenyeji zaidi yangu ati Click to expand... ahahahaaaah alisahau kubisha hodi, alijifungia kwenye vyumba vingine!
Speaker said: jamani,mwaka mzima bado uko kwenye u-member??? naogopa kusema karibu maana wewe ni mwenyeji zaidi yangu ati Click to expand... ahahahaaaah alisahau kubisha hodi, alijifungia kwenye vyumba vingine!