Hute JF-Expert Member Nov 25, 2010 6,537 6,458 Dec 3, 2010 #1 Naja naja kwa adabu kwenye jukwaa la adabu wengi wenu wa adabu thamani kama dhahabu natarajia mafunzo na mapambano kwa wingi tujenge taifa letu Tanzania itadumu!
Naja naja kwa adabu kwenye jukwaa la adabu wengi wenu wa adabu thamani kama dhahabu natarajia mafunzo na mapambano kwa wingi tujenge taifa letu Tanzania itadumu!
The Finest JF-Expert Member Jul 14, 2010 21,605 6,071 Dec 3, 2010 #2 Karibu sana tuendeleze mshikamano
TUKUTUKU JF-Expert Member Sep 14, 2010 11,765 4,033 Dec 3, 2010 #4 Mh!wewe acha usanii unaingia,unakaa tena kwa muda mrefu na baadaye unapiga hodi.Je hii ni mila na desturi ya kabila gani?
Mh!wewe acha usanii unaingia,unakaa tena kwa muda mrefu na baadaye unapiga hodi.Je hii ni mila na desturi ya kabila gani?
WA MAMNDENII JF-Expert Member Jun 5, 2010 344 57 Dec 4, 2010 #5 icha na mmba utaiyove( ingia ndani usihofu)
bwegebwege JF-Expert Member Jul 30, 2010 1,070 184 Dec 4, 2010 #6 We ushaingia, jumuika na wenzio, usanii weka kando!
SUCRE MARIACH Senior Member Jan 27, 2010 104 27 Dec 11, 2010 #9 Hodi hodi wana jamii(Great Thinkers).....
Good Guy JF-Expert Member Oct 24, 2010 3,809 1,406 Dec 11, 2010 #10 SUCRE MARIACH said: Hodi hodi wana jamii(Great Thinkers)..... Click to expand... Junior anzisha New post yako nyuma kidogo co kwa hapa.
SUCRE MARIACH said: Hodi hodi wana jamii(Great Thinkers)..... Click to expand... Junior anzisha New post yako nyuma kidogo co kwa hapa.