Nihitaji kuwa mwanachama wa JF tatizo linapo kuja namna ya kuchangia mada za watu au kutoa maoni kwangu inakuwa shida sehemu ya kuandia sipaoni wenyeji msaada wenu
Unatumiaa jf ip ile ya free basic kutokea ukurasa wa facebook au unatumia app ya free basic ambayo ndani kuna tovuti za bure au unatumia app original ya jf uksem tatizo linakwisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.