cocoitwa
Member
- Sep 7, 2016
- 14
- 10
Habari wana JF wote,
Natoa pongezi sana kwa members wote wa JF kwa michango yao, ushauri, maelezo na hata baadhi ya tafiti wanazotoa katika Forum hii ili kuendeleza maisha na taifa kwa ujumla, nimevutiwa mno na JF hivyo nikaamua nami niwe member ili niweze kupata msaada.
Turudi kwenye mada, mimi ni mkaka wa 37yrs old, nimekuwa mdau wa JF toka mwaka 2012 mwanzoni na nimekuwa nikipitia thread nyingi bila kuchangia wala kucomment mana sikuwa member, ila kiukweli watu wengi wamepata msaada kupitia JF.
Hivyo basi nikiwa kama mgeni nimekuja na suala linalonisumbua kichwa muda mrefu. Ukweli ni kwamba natafuta mwenza wa kuishi naye kama mke na mume (ndoa inahusika), tena yule ambaye ana matatizo ya uzazi, maana hawa wamekuwa wakikosa amani na upendo katika maisha yao kisa familia nina sababu zangu za kuhitaji mwanamke asiye na uwezo wa kubeba mimba, happiness forever, awe na umri kuanzia 30 - 40 yrs old.
Please kwa yule ambaye yupo serious anipm.
Mwisho nawatakia kila la kheri wana JF wote pamoja na familia zao, nitashukuru sana kwa michango na comments zenye kujenga.
Naomba mnipokee.
Natoa pongezi sana kwa members wote wa JF kwa michango yao, ushauri, maelezo na hata baadhi ya tafiti wanazotoa katika Forum hii ili kuendeleza maisha na taifa kwa ujumla, nimevutiwa mno na JF hivyo nikaamua nami niwe member ili niweze kupata msaada.
Turudi kwenye mada, mimi ni mkaka wa 37yrs old, nimekuwa mdau wa JF toka mwaka 2012 mwanzoni na nimekuwa nikipitia thread nyingi bila kuchangia wala kucomment mana sikuwa member, ila kiukweli watu wengi wamepata msaada kupitia JF.
Hivyo basi nikiwa kama mgeni nimekuja na suala linalonisumbua kichwa muda mrefu. Ukweli ni kwamba natafuta mwenza wa kuishi naye kama mke na mume (ndoa inahusika), tena yule ambaye ana matatizo ya uzazi, maana hawa wamekuwa wakikosa amani na upendo katika maisha yao kisa familia nina sababu zangu za kuhitaji mwanamke asiye na uwezo wa kubeba mimba, happiness forever, awe na umri kuanzia 30 - 40 yrs old.
Please kwa yule ambaye yupo serious anipm.
Mwisho nawatakia kila la kheri wana JF wote pamoja na familia zao, nitashukuru sana kwa michango na comments zenye kujenga.
Naomba mnipokee.