Hodi ,mambovp,asalaam aleykum,bwana asifiwe,tumsifu yesu kristo,shalom,emmanuel

karibu mkuu pita kabisa hadi JF RULES UKAPUMZIKE HUKO.
 
Jamani, mie nilifikisha tu ujumbe wa mh mbatia na ushauri wa ziada kwa ajili ya kupambana na udini.
Kha ha ha ha ha ha haaaa!
Mkubwa atajatukimbia huyu na arudi Whatssp!
Adoado Mkuu na kauli yako kwa wageni!
Pamoja sana!
 
Best huku kwatufaa siye wenye lugha laini...si waona wageni wameongezeka siku hizi...

Jamani, mie nilifikisha tu ujumbe wa mh mbatia na ushauri wa ziada kwa ajili ya kupambana na udini.
 
Back
Top Bottom