Hizo salamu za kidini magenius wetu wamekataza!
Karibu.
Mkuu huyu ni mgeni taratibu atarudi fb tumvumilie.
Hizo salamu za kidini magenius wetu wamekataza!
Karibu.
Kha ha ha ha ha ha haaaa!
Mkubwa atajatukimbia huyu na arudi Whatssp!
Adoado Mkuu na kauli yako kwa wageni!
Pamoja sana!
Jamani, mie nilifikisha tu ujumbe wa mh mbatia na ushauri wa ziada kwa ajili ya kupambana na udini.
Hello wana JF,im a new comer oo!! nikaribisheni please....