Hodi karibu

HOPEfull

JF-Expert Member
Apr 8, 2021
1,707
2,047
Nimeona nijikaribishe tu maana naona nachelewa naamini mtanipa usirikiano maana sijui chochote humu sijui kutag ndio nn tajifunza taratibu humu jf kuna mambo mengi sana hongera jf na member wote.nikikosea kuandika msijari mradi uelewe tu maana mambo mengine tumeshaayaacha shuleni huko.
 
Back
Top Bottom