Nimeona nijikaribishe tu maana naona nachelewa naamini mtanipa usirikiano maana sijui chochote humu sijui kutag ndio nn tajifunza taratibu humu jf kuna mambo mengi sana hongera jf na member wote.nikikosea kuandika msijari mradi uelewe tu maana mambo mengine tumeshaayaacha shuleni huko.