Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,222
- 2,925
Habari zenu wakuu,nimesoma sn post za humu na zimeniponya maradhi yangu,nimeamua kuhamia rasmi,naomba kuwakilisha.
Karibu ila ujiandae kujenga hoja kama mtu aliyeenda shule au kifupi uwe greater thinker na usiwe wale wanaopigwa ban na kuja ID mpya.Habari zenu wakuu,nimesoma sn post za humu na zimeniponya maradhi yangu,nimeamua kuhamia rasmi,naomba kuwakilisha.
Hajambo mkuu ila tu mtata si unamjua yule mzee wa mamood!!!Karibu Cantalisia; Fr Fillipe hajambo? Ila kama unamtafuta Salvador mimi sijamuona bado!
Hasante Mzee.Karibu sana.
Asante sana Chatu!Karibu sana
Nishapona kabisa, na daktari amethibitisha, wala sitakuambukiza kabisa mpita njia.Karibu sana. Ulikuwa unaumwa nini? Umepona kweli? usije kutuambukiza bure
Nitajitahidi Mzee wa Rula.Karibu ila ujiandae kujenga hoja kama mtu aliyeenda shule au kifupi uwe greater thinker na usiwe wale wanaopigwa ban na kuja ID mpya.
Wow!Asante sana Sigma!
Asante sana katavi.Karibu sana!
Asante mkuu.Karibu JF