matundu yapo ila ungeweka wazi unaziba matundu yapi? otherwise karibu branaona hakuna tundu ila nitakuwepo, kama itabidi nitatumika kuziba
Habari zenu Waungwana
Mimi ni Kiraka nimefurahishwa na jamvi, naona hakuna tundu ila nitakuwepo, kama itabidi nitatumika kuziba, kama niitwavyo.
Naomba kukaribia....
ebu na wewe niambie hili jina la Konakali ulilipatia wapi? itakuwa pouwa sana mhe.Karibu sana Kiraka, lakini ni vema ukatuambia jina "Kiraka" umelichaguaje? au ni la kuzaliwa/kubatizwa?
unamaanisha umeolewa au utakuwa unawasapoti walioolewa? na labda kuclear doubts wewe ni jinsi gani Kiraka?nitakuwa kwenye kundi la walio olewa.
unamaanisha umeolewa au utakuwa unawasapoti walioolewa? na labda kuclear doubts wewe ni jinsi gani Kiraka?
kweli bra Konakali naona umeshajikatia steki bestie, ila kuna ma-plunders humu wanatisha kwa kutumia primitive ways of accumulationWe ulitaka uanze kunyemelea kama utafaidi? Nyumba tayari imeshajengwa kwenye uwanja huo, na hakuna nafasi tena.