Hodi humu ndani

Pununkila

JF-Expert Member
Jan 7, 2021
690
1,692
Salama wana Jamii Forums...kwa miaka mitano nimekuwa napita humu kimyakimya nakula nondo za maana ubongo unashiba....mwaka huu nimeona ni vema nami niwe mwanachama hai...
 
Salama wana Jamii Forums...kwa miaka mitano nimekuwa napita humu kimyakimya nakula nondo za maana ubongo unashiba....mwaka huu nimeona ni vema nami niwe mwanachama hai...


Karibu sana ndani ya mjengo wa jf,

Hivi Pununkila maana yake nini??
 
Salama wana Jamii Forums...kwa miaka mitano nimekuwa napita humu kimyakimya nakula nondo za maana ubongo unashiba....mwaka huu nimeona ni vema nami niwe mwanachama hai...
Karibu Jf. Na jaribu udumishe mila na desturi za kitanzania kwa kuchangia kwa afabu na heshima. Wapuuzie wanao tukana na kukejeli. Jaribu usiige mabaya ya hapa janvini.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom