Hodi Hodi

Dec 6, 2022
19
30
Nimekuwa mfuatiliaji wa JF takribani miaka 8 bila kuwa member rasmi.

Nikinunua simu mpya,app ya Kwanza kudownload ni JF

Nkitaka kuingia mtandaoni kujua dunia inaendaje,cha kwanza kuchungulia ni JF.

Nikitatizwa na Jambo lolote badala ya kwenda Google,nazama Kwanza JF.

Nikitaka kucheka,kuburudika,kuelimika NK ni JF.

Kiufupi hadi familia yangu ishajua nipo addicted na JF.

Kitu cha ajabu Sana ni kwamba kuna kitu (ingawa siwezi kukibainisha) kilikuwa kinanizuia kufungua ID rasmi. Labda pengine "roho wa Bwana" alikuwa ananizuia ili nisitende dhambi Kwa kuchangia ktk Uzi wa rickboy na wenzie akina mzabzab. Pengine labda uoga wa kupingana na akina Kiranga juu ya uwepo/kutokuwepo Mungu. Pengine pia niliogofya na matunguri ya akina Mzee Mshana Jr ...

Wahenga walisema za mwizi 40 nami nahisi 39 zishafika ni muda wa kutoka backbench na kujitokeza hadharani sasa.

Salute kwenu wote GT mnaoendelea kuyafanya maisha yawe muruwaaa. Na naimani nitainjoy zaidi kuwa sehemu ya familia hii. Ladies and gentlemen here we go......
 
Nimekuwa mfuatiliaji wa JF takribani miaka 8 bila kuwa member rasmi.

Nikinunua simu mpya,app ya Kwanza kudownload ni JF

Nkitaka kuingia mtandaoni kujua dunia inaendaje,cha kwanza kuchungulia ni JF.

Nikitatizwa na Jambo lolote badala ya kwenda Google,nazama Kwanza JF.

Nikitaka kucheka,kuburudika,kuelimika NK ni JF.

Kiufupi hadi familia yangu ishajua nipo addicted na JF.

Kitu cha ajabu Sana ni kwamba kuna kitu (ingawa siwezi kukibainisha) kilikuwa kinanizuia kufungua ID rasmi. Labda pengine "roho wa Bwana" alikuwa ananizuia ili nisitende dhambi Kwa kuchangia ktk Uzi wa rickboy na wenzie akina mzabzab. Pengine labda uoga wa kupingana na akina Kiranga juu ya uwepo/kutokuwepo Mungu. Pengine pia niliogofya na matunguri ya akina Mzee Mshana Jr ...

Wahenga walisema za mwizi 40 nami nahisi 39 zishafika ni muda wa kutoka backbench na kujitokeza hadharani sasa.

Salute kwenu wote GT mnaoendelea kuyafanya maisha yawe muruwaaa. Na naimani nitainjoy zaidi kuwa sehemu ya familia hii. Ladies and gentlemen here we go......
Great great.
 
Nimekuwa mfuatiliaji wa JF takribani miaka 8 bila kuwa member rasmi.

Nikinunua simu mpya,app ya Kwanza kudownload ni JF

Nkitaka kuingia mtandaoni kujua dunia inaendaje,cha kwanza kuchungulia ni JF.

Nikitatizwa na Jambo lolote badala ya kwenda Google,nazama Kwanza JF.

Nikitaka kucheka,kuburudika,kuelimika NK ni JF.

Kiufupi hadi familia yangu ishajua nipo addicted na JF.

Kitu cha ajabu Sana ni kwamba kuna kitu (ingawa siwezi kukibainisha) kilikuwa kinanizuia kufungua ID rasmi. Labda pengine "roho wa Bwana" alikuwa ananizuia ili nisitende dhambi Kwa kuchangia ktk Uzi wa rickboy na wenzie akina mzabzab. Pengine labda uoga wa kupingana na akina Kiranga juu ya uwepo/kutokuwepo Mungu. Pengine pia niliogofya na matunguri ya akina Mzee Mshana Jr ...

Wahenga walisema za mwizi 40 nami nahisi 39 zishafika ni muda wa kutoka backbench na kujitokeza hadharani sasa.

Salute kwenu wote GT mnaoendelea kuyafanya maisha yawe muruwaaa. Na naimani nitainjoy zaidi kuwa sehemu ya familia hii. Ladies and gentlemen here we go......
Pengine pia niliogofya na matunguri ya akina Mzee Mshana Jr ...
 
Back
Top Bottom