Sigara Kali
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 3,623
- 8,428
Wanaume wa Dar mpooo,kijana Mimi mwanaume wa mkoani toka huku kanda ya Kolomije naja hapo nami nijifunze kula mahindi ya Kuchoma na chumvi,mambo ya chipsi yai na Pepsi bariiidi,jioni nipige slesi moja ya mkate
Nitajieni viwanja vya ukweli vyenye Totoz nikifika tu nikale bhata si mnajua Sie wa mkoani bata zetu hazifani sana
Mnikaribishe mwanaume wa mkoani
Nitajieni viwanja vya ukweli vyenye Totoz nikifika tu nikale bhata si mnajua Sie wa mkoani bata zetu hazifani sana
Mnikaribishe mwanaume wa mkoani