Sijui mkuu
Karibu sana mkuu, hapa kuna magreat thinkers hivyo ukileta hoja jipange
Je wewe ni Boniface yule mayor wa ubungo?Asante sana nitahakikisha najipanga vizuri kabla ya kuwasilisha
Mbona unakuja na mikwala ya tija? Anyway, Karibu! Angalizo, kila demu humu ana mtu wake! 😂 😂 😂 😂 😂
Mzima sanaa DuraDullah hajambo?
Nawe pia mkuu.Ramadhan Mubarak
visheti?Karibu,ukitaka visheti nipo hapa….
visheti?
Mh, in english! unanipeleka kubaya!vibagia in English..lol
Mh, in english! unanipeleka kubaya!
Huko unakokujuamnh,wapi tena huko…???