Power G
JF-Expert Member
- Apr 20, 2011
- 3,886
- 1,193
Wapenzi wanaJF nawasalimuni kwa mpigo Mamboooooooo! Nimewamiss sana baada ya kuhukumiwa na majaji wa JF kifungo cha miezi 3 kwa kosa la kumkashifu mzee wa Gombe. Nawaonya na ninyi msije mkafanya kosa kama langu mkaishia lupango, kwani mmoja wa majaji ni kijana wa kufikia wa mzee wa Gombe.
Nasikitika wakati nimeenda lupango nilikuwa nimeposti thread ya kutafuta mchumba, sasa wachumba wamenitafuta hadi wamekata tamaa. Nadhani itanichukua miaka 5 hadi kuja kupata mchumba tena.
Nasikitika wakati nimeenda lupango nilikuwa nimeposti thread ya kutafuta mchumba, sasa wachumba wamenitafuta hadi wamekata tamaa. Nadhani itanichukua miaka 5 hadi kuja kupata mchumba tena.