Hodi Hodi Power G Ametoka Kifungoni

Power G

JF-Expert Member
Apr 20, 2011
3,886
1,193
Wapenzi wanaJF nawasalimuni kwa mpigo Mamboooooooo! Nimewamiss sana baada ya kuhukumiwa na majaji wa JF kifungo cha miezi 3 kwa kosa la kumkashifu mzee wa Gombe. Nawaonya na ninyi msije mkafanya kosa kama langu mkaishia lupango, kwani mmoja wa majaji ni kijana wa kufikia wa mzee wa Gombe.

Nasikitika wakati nimeenda lupango nilikuwa nimeposti thread ya kutafuta mchumba, sasa wachumba wamenitafuta hadi wamekata tamaa. Nadhani itanichukua miaka 5 hadi kuja kupata mchumba tena.
 
Wapenzi wanaJF nawasalimuni kwa mpigo Mamboooooooo! Nimewamiss sana baada ya kuhukumiwa na majaji wa JF kifungo cha miezi 3 kwa kosa la kumkashifu mzee wa Gombe. Nawaonya na ninyi msije mkafanya kosa kama langu mkaishia lupango, kwani mmoja wa majaji ni kijana wa kufikia wa mzee wa Gombe.

Nasikitika wakati nimeenda lupango nilikuwa nimeposti thread ya kutafuta mchumba, sasa wachumba wamenitafuta hadi wamekata tamaa. Nadhani itanichukua miaka 5 hadi kuja kupata mchumba tena.

Mzee wa Gombe ndio nani mkuu?
 
Dahhh pole sana...Ila umejifunza nn ulipokuwa lupango..
Lupango ni kugumu sana, kuna mambo ya ajabu ajabu yanafanyika kule ambayo siwezi kuyasema, ingawa mimi kwa u-power yangu hayakunipata. Lakini kwa wafungwa wanyonge wanyonge mmmh. Tangu siku ya kwanza naingia lupango nimekuwa nikiwawaza hawa wafuatao, kiasi kwamba nikaona kama siku haziendi:- Ciello, Preta, Lara1 na charminglady. Ukitaka kupata uzoefu mzuri wa lupango, ufungwe mwenyewe.
 
Ndugu yangu Power G huyo mzee mimi mwenyewe alinisababishia kifungo cha mwezi mmoja, usimguse tena yule ni nyara ya serikali
 
Last edited by a moderator:
Naona umerudia kosa lile lile!
Wapenzi wanaJF nawasalimuni kwa mpigo Mamboooooooo! Nimewamiss sana baada ya kuhukumiwa na majaji wa JF kifungo cha miezi 3 kwa kosa la kumkashifu mzee wa Gombe. Nawaonya na ninyi msije mkafanya kosa kama langu mkaishia lupango, kwani mmoja wa majaji ni kijana wa kufikia wa mzee wa Gombe.

Nasikitika wakati nimeenda lupango nilikuwa nimeposti thread ya kutafuta mchumba, sasa wachumba wamenitafuta hadi wamekata tamaa. Nadhani itanichukua miaka 5 hadi kuja kupata mchumba tena.
 
Lupango ni kugumu sana, kuna mambo ya ajabu ajabu yanafanyika kule ambayo siwezi kuyasema, ingawa mimi kwa u-power yangu hayakunipata. Lakini kwa wafungwa wanyonge wanyonge mmmh. Tangu siku ya kwanza naingia lupango nimekuwa nikiwawaza hawa wafuatao, kiasi kwamba nikaona kama siku haziendi:- Ciello, Preta, Lara1 na charminglady. Ukitaka kupata uzoefu mzuri wa lupango, ufungwe mwenyewe.

Duh... hata me kumbe uliniwaza.... hakyakweli nina bahati ya kuwazwa na wewe kweli!!!!
 
Ndugu yangu Power G huyo mzee mimi mwenyewe alinisababishia kifungo cha mwezi mmoja, usimguse tena yule ni nyara ya serikali

Aya aya aya!!
Yaani unamwita jembe la magamba nyara ya serikali?
Ngoja nikuitie Invizibo!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom