RAKI BIG
JF-Expert Member
- Apr 26, 2020
- 394
- 456
shwari kabisaa chalii.nipe mrejesho wajumapili hii upoje
shwari kabisaa chalii.nipe mrejesho wajumapili hii upoje
shwari kabisaa chalii.nipe mrejesho wajumapili hii upoje
sawa me nikutakia kila la kheri.katika kanuni za mabaharia ibara ya 5 kifungu B .BAHARIA ANAKUNYA POPOTE HATA JUU MTI.Kwaio endelea na mapambano wananzengo na macho yao kodo wasikukwamishe katika shuhuli yako
me niulize nimeamkaje maana ndo kwanza naingia asubuh hii.yalio jiri mkuu na mama pretty?
me niulize nimeamkaje maana ndo kwanza naingia asubuh hii.yalio jiri mkuu na mama pretty?
hahahaha kwakweli maombi zaid yanaitajika,na hiv mkuu kasema kuna siku tatu za kuomba na jumapili shangwe bar lodge zote na hotel zinafunguliwa ushindwe ww tuHahahah naendelea kuwakilisha Taifa mkuu.
Tuombeane maana ushindi huu ni ushindi wa Watanzania wote ndani nanje ya nchi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaaaan jf raha saan lolKama ni vita wacha iwe vita, Mimi nitakua upande wako kama "Armor" Yaan Kukulinda toka ktk hatari.
Nitakua Helmet univae kichwan kama boda boda
Nitakua PPE nikulinde dhidi ya Corona
Nitakua Bulletproof vest niizuie risasi isipenye mwilin mwako.
Nitakua ballistic vest bikulinde dhidi ya milipuko ya gongo la mboto ambayo MTU alibeba mpaka badala ya mwana.
Nitakua Gas mask wako niizuie hewa chafu isiingie mwilin mwako.
Au niwe gloves ?? Nilinde viganja laini vya mikono YAKO, ili pindi unipapasapo nipate msisimko halisi wako?.
Bado tu unaogopa ?.wakati nmekulinda dhidi ya Vita na matokeo yake ?.
Basi poa, ngoja niwe Mwarubaini mchaichai, mkaratusi, Limao, tangawizi, mdalasini, na niwe shuka, UJIFUKIZE .
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona umefurahiYaaaan jf raha saan lol
mimi utakuwa hunijui...😂😂 kumbe watu ndo wanakaribishwa hivi humu.. ebu niacheni na nnawajua wote humu msnione mgeni mkafikiri jf nmeijua leo😂😂🏃♀️🏃♀️