mtz one
JF-Expert Member
- Dec 25, 2012
- 4,272
- 1,210
IGWEEEEEEEEEEEEEEEEE.............!!!!!!!!!!!!!
wanachit chat kwa mara ya kwanza naomba kujitambulisha kwenu mie kijana msoga yetu toka msoga kwa walima nanasi huko chalinze napenda kujipa kick kwa mara ya kwanza kuwa baada ya mda mfupi tu nitagombea uenyekiti hapa na kutwaa madaraka ya ARUSHAONE hivyo akae sawa vijana tupo na ari ya juu ya kufanya kazi
kwa mara nyingine naombeni mnipokee.................nawapenda wote
thanks in advance!!:A S 103::A S 103:
wanachit chat kwa mara ya kwanza naomba kujitambulisha kwenu mie kijana msoga yetu toka msoga kwa walima nanasi huko chalinze napenda kujipa kick kwa mara ya kwanza kuwa baada ya mda mfupi tu nitagombea uenyekiti hapa na kutwaa madaraka ya ARUSHAONE hivyo akae sawa vijana tupo na ari ya juu ya kufanya kazi
kwa mara nyingine naombeni mnipokee.................nawapenda wote
thanks in advance!!:A S 103::A S 103: