Nimeona kwenye taarifa ya habari ya ITV Leo tarehe 30.11.2021 sh. Mil. 20 zimetengwa kwa ajili ya kuninulia vifaa vya Michezo ya wabunge ili Hali shule nyingi asa za msingi watoto hawana madawati wanakaa chini. Huo ndo uzalendo wa viongozi wetu au wanafanya hivyo kisa watoto wao hawasomi katika hizi shule?
My intake Waziri wa Elimu na Waziri Tamisemi Tenga Muda wa kuzungukia Halmashauri na jaribu kuingia kwenye kata kuliko kuishia wilayani.Yaani huku Katani Hali ni mbaya.
My intake Waziri wa Elimu na Waziri Tamisemi Tenga Muda wa kuzungukia Halmashauri na jaribu kuingia kwenye kata kuliko kuishia wilayani.Yaani huku Katani Hali ni mbaya.