Hivi mpaka Leo hujagundua kuwa kuna wanawake hawawezi fanya jambo lolote hapa duniani mpaka wapitie kwa sangoma kuchanjwa hizo chale!
Kama mada inavyosema, nimekuwa nikiona wadada na wanawake wengi wana chale chini kidogo ya shingo mgongoni na kifuani tena wengine ni nyingi sana zimepangana mstari sasa nashindwa kuelewa wanachanjwa kwaajili gani, na je hata wanaume pia wanazo ila hazionekani kwasababu ya mavazi yao au inakuwaje?
Naomba wana jf mnieleweshe maana nimekuwa na maswali mengi.
NB: Mimi ni ke na sina chale.
jaman na mm nimekutana na wanawak design hyo !akitaka kufanya kabiashara anakimbilia kwa mganga !yaan weengine wanaenda kwa waganga ili wapate mabwana wa kuwapa pesa !haahahha jaman kazi ipo !anywys kila mtu na imani yake !
mie siku nitakayoenda kwa mganga atanifukuza fasta !maana nitacheka sana na kumhoji maswali karahishi lol! nashukur sin ht chale 1
subiri yakukute ndo utajuaKama mada inavyosema, nimekuwa nikiona wadada na wanawake wengi wana chale chini kidogo ya shingo mgongoni na kifuani tena wengine ni nyingi sana zimepangana mstari sasa nashindwa kuelewa wanachanjwa kwaajili gani, na je hata wanaume pia wanazo ila hazionekani kwasababu ya mavazi yao au inakuwaje?
Naomba wana jf mnieleweshe maana nimekuwa na maswali mengi.
NB: Mimi ni ke na sina chale.
Hakika haziwezi kuishaKazi ipo!
Mbitiyaza we kweli huna chale? Leo ntakuangalia maana huko huwa sikuangalii kabisa. Nakuwa busy tu....
Mkuu ungechanjia cha ujuuUngewauliza uliowaona nazo maana kila aliyechanjwa ana makusudi yake
mimi za kwangu nimechanja kichwa cha chini (kwa kutumia mate ya koboko, basi huwa kinaumuka kama bichwa la koboko ninapofanya majamboz
Umejuaje?Nadhani ni kwa ajili ya mambo ya tiba za asili kwa waganga
hahaha sina chale na hatunaga imani hizo kwetu !yaan sie hatujawah valishwa hata yale manyoya ya mikonon utoton sijui ya kutoa degedege ! hahaha sema unakujaga ukiwa high sana na ww!unaangalia sehem moja tu lol
ili kikiumuka mtu anione jini au...miss chagga umenichokaMkuu ungechanjia cha ujuu
Sasa cha chini kutupanulia nani zetu ndiyo nini?ili kikiumuka mtu anione jini au...miss chagga umenichoka
kikiumuka kina-sooth sema unadhani kinakuwa kikuuuubwaSasa cha chini kutupanulia nani zetu ndiyo nini?
Basi sawakikiumuka kina-sooth sema unadhani kinakuwa kikuuuubwa