Mimi nimeona akina bibi na akina mama wa Kimakonde wakiwa na chale uso mzima, ndio kama hizo?Kama mada inavyosema, nimekuwa nikiona wadada na wanawake wengi wana chale chini kidogo ya shingo mgongoni na kifuani tena wengine ni nyingi sana zimepangana mstari sasa nashindwa kuelewa wanachanjwa kwaajili gani, na je hata wanaume pia wanazo ila hazionekani kwasababu ya mavazi yao au inakuwaje?
Naomba wana jf mnieleweshe maana nimekuwa na maswali mengi.
Nb: mimi ni ke na sina chale.
HaswaaKazi ipo!
ndio hivyo ukiona hivyo ujue wamepitia kwa kalumanziraNakuwaga na maswali sana juu la hili.
Karibu sana
sawiaBasi sawa!
SIO KWeli wENGINECNI UREMBO Na wENGINE NI KWA AJILI YA TIBA KAMA DEGEDEGE. yaani unachanja na kupaka dawa inayosafirishwa haraka na damu? hii ilikuwa zamani sindano hakuna maana degedege ni homa kali inayohitaji kushushwa haraka.bado maeneo machache wanendelea kutumia ujuzi huuHizo chale inamaanisha tiba za kienyeji, ukimuona mtu wa namna hiyo ujue ni muumini wa ushirikina...
Sawa mkuuSIO KWeli wENGINECNI UREMBO Na wENGINE NI KWA AJILI YA TIBA KAMA DEGEDEGE. yaani unachanja na kupaka dawa inayosafirishwa haraka na damu? hii ilikuwa zamani sindano hakuna maana degedege ni homa kali inayohitaji kushushwa haraka.bado maeneo machache wanendelea kutumia ujuzi huu