Hizi zinaweza kuwa ni dalili za kuichoka na kutoipenda tena kazi aliyoomba na anaweza kuja na maamuzi magumu ya kutogembea tena nafasi hiyo ya juu

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,013
144,371
Wakati wengi wakiamini kuwa Baba Mwenye Nyumba amekimbia makazi yake kutokana na hatari ya vile vijidudu,binafsi nimekuwa na mtazamo wa ziada kuwa mbali na hiyo kuweza kuwa ni moja ya sababu,lakini kitendo cha kukaa huko muda wote huu kwangu naanza kukiona kama ni dalili nyingine ya Baba huyu kuichoka na kutoipenda tena kazi yake na hivyo huenda akaamua kukaa pembeni jambo linaloweza kuwashangaza na kuwashitua wengi.

Hali hii inayoendelea inaashiria amepoteza hata mood ya kazi na huku kusemwa pengine ndio kabisa kunachangia kumkatisha tamaa ya kuendelea kukalitia hico kiti hivyo ni bora tu abaki ajipumzikie.

Wadau,binafsi naamini hali hii si ya kawaida na huenda kuna jambo haliko sawa kumuhusu na ambalo linafanywa siri kwa sasa.

Anaweza kurudi anakotakiwa kuwepo ila anaweza kufanya hivyo kwa lengo la kupunguza maswali au mashaka yanayoonza kujitokeza ila baada ya muda ataondoka tena na kurudi kijijini kwake.

Narudia,hali hii si ya kawaida unless ni katika kuuguza ingawa sababu hii nayo bado haiwezi ku-justfy kukaa kwake nje ya ofisi yake kwa muda wote huu.

Nahisi ni kama anaaga na wakati huo huo anawaandaa watu kisaikolojia.

Hii ingekuwa ni tabia yake,basi ingejitokeza tangu siku za mwanzo anaingia ofisini na leo isingekuwa ajabu lakini sio kuanza tabia hii kipindi hiki na kusiwe na sababu iliyolazimisha.

Moyo wa mtu ni siri nzito.
 
Asante kwa Mawazo yako Mkuu ,bado Jiwe ni Binadamu kama Binadamu wengine hivyo Sababu inaweza kuwa moja kati ya ulizo zitaja au na kinyume cheke.Muda utatoa Majibu ya haya.
Huyu mtu kwa nafasi yake,angeweza ku-limit watu wa kumuona na sio kukimbia ofisi kwa muda wote huo.Kingine, hata Idodomia nako ameshindwa kukaa?

Vyoyote itakavyokuwa,huyu mtu kuna jambo linamsibu na ndio chanzo cha kukaa mbali na watu anaopaswa kuwa nao karibu kikazi.

Narudia,kuna jambo haliko sawa na si kwamba kaamua tu kukaa huko aliko.

Muda utasema.
 
Tulizoea kumuona baba wa akirudi lakini ni zaidi ya mwezi baba haonekani,mbaya zaidi hata simu "tukidipu" hapatikani..huu ukimya sio wa kawaida... Waswahili waliwahi kusema "kimya kingi kina mshindo mkuu" ni suala la kusubiri na kuona..!
 
Tulizoea kumuona baba wa akirudi lakini ni zaidi ya mwezi baba haonekani,mbaya zaidi hata simu "tukidipu" hapatikani..huu ukimya sio wa kawaida... Waswahili waliwahi kusema "kimya kingi kina mshindo mkuu" ni suala la kusubiri na kuona..!
N wazi hii kazi kaanza kuiona ni mzigo na ni kama ana hasira fulani hivi.
 
Tulizoea kumuona baba wa akirudi lakini ni zaidi ya mwezi baba haonekani,mbaya zaidi hata simu "tukidipu" hapatikani..huu ukimya sio wa kawaida... Waswahili waliwahi kusema "kimya kingi kina mshindo mkuu" ni suala la kusubiri na kuona..!
Tusubiri
 
N wazi hii kazi kaanza kuiona ni mzigo na ni kama ana hasira fulani hivi.
Inawezekana aisee..unajua nimeshangaa yule swahiba wake toka nchi jirani alipokua anahojiwa aliposema kwamba jamaa hapatikani ndio nikajua kabisa kama kuna shida..lakini ngoja tusimalize maneno..tusubirie Surprise!
 
Back
Top Bottom