MURUSI
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 4,472
- 8,692
- Thread starter
- #41
Elimu ya juu wapi?Makanali wa TPDF walioteuliwa ni wasomi na maofisa wa TPDF hawapandi vyeo kutoka uluteni kwenda captain, major, luteni Kanali, Kanali, Brigadier General, Major General, Luteni Generali bila kupitia kozi kibao ndani na nje ya nchi za masuala ya uongozi, ulinzi na usalama mbali ya kuwa wamemaliza elimu ya juu ya sekondari na kuhitimu vyuo vya elimu ya juu.