Uchaguzi Igunga na Pepo za Mabadiliko Tanzania

I still do not believe that only 33% of registered voters turned out to vote.

Voter Registration Cards zilikamatwa akiwa nazo mjumbe, including the voters roaster.......................................
 
plus vitisho, risasi za moto, mabomu, maji ya kuwasha, kuchakachua, helikopta mbili, magufuli, mkapa, mkama, kiwete(alikwenda usiku), komba+tot, ze komedi, bakwata, kafu, rustam, nepi, rizwani, mwigulu, shigela ... all the rubbish!!!

Umesahau mvua. LOL!!
 
Nadhani cdm kuna haja ya BAVICHA sasa kulivalia njuga swala la vijana kutojiandikisha na wengine kutokuwa na hamasa ya kupiga kura ili hali wanajitokeza kwa wingi kwenye kampeni.

Kashinye anahitaji kufanya kazi ya ziada ya kujipambanua kuwa yeye ni mbunge mtarajiwa wa igunga kwa kuanza kuwashirikisha wananchi katika shughuli za kujiletea maendeleo. Anaweza kujihusisha na mipango mingi tu ya kuwabadilisha watu iliwajitambue.anahitaji kuwaonyesha akinamama wa Igunga kuwa ana kitu cha kuwasaidia kuondokana na umasikini wao.

watu humpigia kura mtu wanayemjua na aliyewahi kuwasaidia na wanamwamini kuwa anaupendo kwao.

Kashindye kwa muonekano wake anaweza kuwa msaada sana kwa wanaIgunga. KKafumu kutokana na status yake ni ngumu kuwa karibu na wananchi zaidi ya kuwahonga tu.

Chadema nyie ni watu makini na you really make us simIle and we are proud of you guys! May God bless you!
 
Sina shaka kabisa...Nilipost thread moja hapa JF jana,nikasema tushinde au tusishinde Igunga lazima mapambano yaendelee..CHADEMA wameonyesha kuwa ni moja ya vyama ambavyo kama tukishikiria mwendo huu hakika tutafika...
 
What had happened in Igunga over the weekend is a clear reflection of the 2015 elections. CCM will triumph again in 2015. CCM will retain the majority seats in the congress and the presidency as well.

No thank you. This is a greater achievement for this newly introduced political party in Igunga, that is CDM. For CCM has been there since independence but the rewards count 3,000 votes over only. It indicates slow death for this "former" giant ruling party. It is at ICU floor waiting for doctor's death report in 2015 general election.

CDM has gained from this election, it is like a growing child who aims higher and yes we shall attain our aimed ideas!!
 
the opposition parties have asserted their presence and proved their clout in the country's political scene; if this trend continues, dynamic changes in the country' political landscape should be expected in the near future
 
Kweli CHADEMA wamefanikiwa sana. Wamefanya vizuri mno! Timu ya refa lazima ingeshinda lakini mwisho wa mechi moja ni maandalizi ya mechi nyingine.

Wadau, naomba kujua matokeo ya viti vya udiwani uliofanyika jana sambamba na wa Igunga.
 

Hela mlizo zi invest Igunga ingekuwa kufungua matawi yangekuwa 1578, mmepata pigo kubwa sana hamna furaha na mmeanza kusambaratika

Watanzania hawana shida na matawi wala mashina, bali wanashida na viongozi makini watakaoweza kuwatumikia inavyostahili.
 
Wapo wapi wale wapigadebe uchwara waliokuwa wanasema CUF na chadema watagawana kura? Wako wapi wale waliokuwa wanapigia kelele muungano wa upinzani? Igunga imetupa jibu kwamba watanzania wameamua kuwa na chama kimoja tu cha upinzani.Asante watanzania.Hakika matawi yote ya ccm kama updp,cuf tlp,nccr na wengine watakufa kifo cha mende.Hakika utabiri wa mwenyeheri Julius Nyerere unakaribia kutimia.
 
What had happened in Igunga over the weekend is a clear reflection of the 2015 elections. CCM will triumph again in 2015. CCM will retain the majority seats in the congress and the presidency as well.

You must be non patriotic Tanzanian who benefit from what Tanzanians are suffering from day and night due to exploitation by their own fellos FISADIS.

However you must understand that Tanzanians are begining to regain their senses and have known their enemy and are ready for a fight. There is nothing above the people's power once they are ready you have to go. CCM term has come to an end and there is no way you can renew agan.

We are optimistic that we will win the battle. If God is on our side, who will be against us?
 
You must be non patriotic Tanzanian who benefit from what Tanzanians are suffering from day and night due to exploitation by their own fellos FISADIS.

However you must understand that Tanzanians are begining to regain their senses and have known their enemy and are ready for a fight. There is nothing above the people's power once they are ready you have to go. CCM term has come to an end and there is no way you can renew agan.

We are optimistic that we will win the battle. If God is on our side, who will be against us?

Tell them brother !
 
I am smilling cuz pamoja na hardship waliowekewa CHADEMA,wameweza kupenya kufikia ushindi huo. Hiki chama hakitambai, kinakimbia, huku babu ccm ananyata km c kuchechemea! ALUTA CONTINUA MY CHADEMA!
 
Imekaaje hii? Inatupatia picha gani? Kutoka 35,000+ hadi 26,000+: na kutoka 0 hadi 23,000+; na kutoka 11,000+ hadi 2,000+.

Kwa wasioelewa nasema niniu, hizo na tarakimu za kura walizopata vyama vikuu vitatu katika uchaguzi mdogo Igunga, zililinganishwa na zile za uchaguzi mkuu wa mwaka jana.
Spana unajifariji bila sababu. wakati CDM inajinadi mlikuwa na asilimia 99 kushinda jimbo la Igunga. Samahani sana fanyia kazi yafuatayo:
1: Pangeni(CDM) mkakati wa kuwashawishi watu wazima(wazee akina baba na mama ) kura zao ni asali (CDM) sio kwa fujo wala vitisho. Waambieni madhara wanayopata kwa kuiweka CCM madarakani. Kazi hiyo wapeni wazee wenzao makini waliomo CDM sio vijana lugha itagongana.
2: Pangeni Fitna iwasambaratishe CCM. Wawe na vita ya maneno wenyewe wamalizane.
3:Mjini mnakubalika hamieni vijijini kwa kasi kubwa.

Hayo ndo mawazo yangu katika mstakabali mzima kuelekea kujipanga kwa chaguzi zijazo. Wagombea wenu wakishindwa kila chaguzi wanachama wenu watakata tamaa mapema na kuona chama hakipati mafanikio.
 
What had happened in Igunga over the weekend is a clear reflection of the 2015 elections. CCM will triumph again in 2015. CCM will retain the majority seats in the congress and the presidency as well.

crap! You have to know that igunga was a strong base of magamba..but still chadema secured 45% of total vote..tell me what would have hapen if the by election was held in mbeya,arusha mwanza, or tarime.
 
Back
Top Bottom