Hizi tafiti za hawa Wazungu naona zitatufanya sasa ama tuogope au tusizae kabisa

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,054
107,538
Mtafiti mmoja huko Massachusetts Marekani ya Kaskazini ( jina lake limehifadhiwa ili kumlinda kutoka kwa wale ambao watapovuka na utafiti wake huu ) ambaye ni Mtaalam pia wa masuala mazima ya Saikolojia amesema kwamba ukiona Mtoto yoyote mwenye kati ya miezi 6 hadi hadi miezi 9 ana hizi dalili zifuatazo:
  1. Analia lia sana
  2. Usiku halali
  3. Anakojoa kupitiliza
  4. Anatoa sana haja kubwa usiku
  5. Hataki kubebwa na wengine isipokuwa Mama yake tu
  6. Ananyonya mno maziwa
  7. Anapenda kumng'ata Mama yake maziwa hadi anamuumiza
jua ya kwamba atakuwa kuwa siyo Raia mwema akiwa mkubwa na pengine anaweza akaja kuwa hasara kubwa sana katika Jamii na hata Serikali hatimaye kupelekea Maendeleo ya nchi husika kuwa nyuma au kuzidi kuchelewa.

Je Wataalam wa haya masuala ya Saikolojia ya Uzazi hapa JF hili lina ukweli au Mtafiti huyu amekengeuka / amepotoka tu?

Nawasilisha.
 
solusheni yake ni kuzaa as many as you can mpaka simbilisi aombe poo,

Mkuu Wewe una Mtoto? Je wa Kwako hakuwa pengine na hizo characteristics saba ( 7 ) tajwa hapo juu? Kuwa mkweli katika jibu lako tafadhali.
 
ahahaaa kuna watoto wengi tu wa hivo ila tatizo linatokea kwa sababu anashinda na mama yake tu . kila saa mgongoni akishazoea inakuwa shida . anakuwa hajafunzwa kujitegemea yaani.mtoto anaeishi nyumba yenye watu wengi anakuwa hana shida yoyote
 
Mtafiti mmoja huko Massachusetts Marekani ya Kaskazini ( jina lake limehifadhiwa ili kumlinda kutoka kwa wale ambao watapovuka na utafiti wake huu ) ambaye ni Mtaalam pia wa masuala mazima ya Saikolojia amesema kwamba ukiona Mtoto yoyote mwenye kati ya miezi 6 hadi hadi miezi 9 ana hizi dalili zifuatazo:
  1. Analia lia sana
  2. Usiku halali
  3. Anakojoa kupitiliza
  4. Anatoa sana haja kubwa usiku
  5. Hataki kubebwa na wengine isipokuwa Mama yake tu
  6. Ananyonya mno maziwa
  7. Anapenda kumng'ata Mama yake maziwa hadi anamuumiza
jua ya kwamba atakuwa kuwa siyo Raia mwema akiwa mkubwa na pengine anaweza akaja kuwa hasara kubwa sana katika Jamii na hata Serikali hatimaye kupelekea Maendeleo ya nchi husika kuwa nyuma au kuzidi kuchelewa.

Je Wataalam wa haya masuala ya Saikolojia ya Uzazi hapa JF hili lina ukweli au Mtafiti huyu amekengeuka / amepotoka tu?

Nawasilisha.
Huu ni ukweli mtupu, tena kama mtoto huyo anajambajamba ndiyo kabisa
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom