Ngungenge
JF-Expert Member
- Jun 11, 2016
- 2,862
- 3,190
NGO zinasaidia kukuza uchumi kwa kuingiza pesa toka nje kuliko kuchukua pesa za ndani ya nchi
Mwambie uyo Mpuuzi anajua umuhimu wa NGO Uyo
Anajua ni ajira ngapi zimetengenezwa
Tukifunga shule vyuo hospital na misaada mtaweza kupata hata ARV
SHENZI SANAAA