MURUSI
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 4,472
- 8,692
Taasisi kama EAC tangu waanze kuwa na waangalizi wa Uchaguzi hawajawahi kukosoa uchaguzi wa ncho yoyote ndani ya jumuia, wao chaguzi hata zile za Burundi kwao huwa ziko sawa kabisa na hawaonaga tatizo.
SADC chaguzi kama za Zimbabww enzi za Mugabe walikuwa wanakubaliana na hawakuwaho kukosoa zile chaguzi.
AU nao sina kumbukumbu ndani ya Africa kama walisha wahi kukosoa uchaguzi.
Hawa huwa ni geresha tu hawana msaada ni magenge ya Kiafrica ya ku undermine Democracy ya Africa.
SADC chaguzi kama za Zimbabww enzi za Mugabe walikuwa wanakubaliana na hawakuwaho kukosoa zile chaguzi.
AU nao sina kumbukumbu ndani ya Africa kama walisha wahi kukosoa uchaguzi.
Hawa huwa ni geresha tu hawana msaada ni magenge ya Kiafrica ya ku undermine Democracy ya Africa.