Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 16,464
- 35,703
Nimenukuu kutoka mtandao wa X kwa ndugu Martin Maranja Masese, na nimeamua kuiweka hapa ili na nyinyi Wakuu muweze kutoa maoni yenu. Maana habari za vyombo vikubwa vya habari kama Sauti ya America na Reuters vilio ripoti kama ilivyo nukuliwa hapo chini, akaja na Waziri wa uwekezaji na yeye akatoa tamko lake, Balozi wa Korea Kusini naye akazungumza kama ilivyonukuliwa.
Na Jokate Mwegelo Katibu wa UWT naye akaja na matamshi yake. Najiuliza kwanini Viongozi wa Serikali kila mmoja amekuwa akitoa kauli inayokinzana na mwenzake? Kwanini Msemaji Mkuu wa Serikali ameshindwa kuja na kauli ya moja kwa moja kuweka taarifa sawa zinazohusiana na huu mkopo?
VOA/REUTERS; Tanzania imepewa mkopo na Korea Kusini na kutoa bahari na madini yanayotumika katika teknolojia ya nishati safi (nikeli, Lithiamu, grafiti)
KITILA MKUMBO; Tumesaini mkataba kwa lengo la kushirikiana kuboresha teknolojia ya uvuvi, kujenga bandari za uvuvi na viwanda kuchakata Samaki.
TOGOLANI MAVURA; Tanzania haijasaini mkataba wowote na Korea unaohusu bahari wala madini katika ziara ya Rais Samia Suluhu Hassan nchini Korea.
JOKATE MWEGELO; Tanzania imepata mkopo wa Sh6.8 trilioni. Mkopo wa masharti nafuu, utakaolipwa katika miaka 40 kuanzia mwaka wa 26 kwa riba ya 0.01%.
WATANZANIA; Hakuna tatizo, tunaomba kupewa mkataba wa mkopo, tusome wote. Inawezekana siyo bahari na madini tu mmeuza, labda na makazi yetu.
Brigedia Mtikila, MMM.
Pia soma
Na Jokate Mwegelo Katibu wa UWT naye akaja na matamshi yake. Najiuliza kwanini Viongozi wa Serikali kila mmoja amekuwa akitoa kauli inayokinzana na mwenzake? Kwanini Msemaji Mkuu wa Serikali ameshindwa kuja na kauli ya moja kwa moja kuweka taarifa sawa zinazohusiana na huu mkopo?
VOA/REUTERS; Tanzania imepewa mkopo na Korea Kusini na kutoa bahari na madini yanayotumika katika teknolojia ya nishati safi (nikeli, Lithiamu, grafiti)
KITILA MKUMBO; Tumesaini mkataba kwa lengo la kushirikiana kuboresha teknolojia ya uvuvi, kujenga bandari za uvuvi na viwanda kuchakata Samaki.
TOGOLANI MAVURA; Tanzania haijasaini mkataba wowote na Korea unaohusu bahari wala madini katika ziara ya Rais Samia Suluhu Hassan nchini Korea.
JOKATE MWEGELO; Tanzania imepata mkopo wa Sh6.8 trilioni. Mkopo wa masharti nafuu, utakaolipwa katika miaka 40 kuanzia mwaka wa 26 kwa riba ya 0.01%.
WATANZANIA; Hakuna tatizo, tunaomba kupewa mkataba wa mkopo, tusome wote. Inawezekana siyo bahari na madini tu mmeuza, labda na makazi yetu.
Brigedia Mtikila, MMM.
Pia soma