tpaul
JF-Expert Member
- Feb 3, 2008
- 21,488
- 17,688
Ijapokuwa mimi sio mpenzi wa haya manyimbo ya taarab lakini nimepata kusikia kipande kwenye mashairi ya mzee yusuf ambayo yamenisikitisha sana.
Mzee yusuf (MY) alikuwa akiimba huku akiitikiwa na dada (DD) mmoja:
MY: Mpenzi wangu nipe rahaaaa!
DD: Nipe raha mpaka nikojoeeee!
Ndugu zangu, hii maana yake ni nini? Kwa nini jamii inalazimishwa kusikilizishwa matusi huku vyombo vinavyohusika na sanaa nchini (BASATA na/au COSOTA) vikiwa kimya?
Na ni bahati mbaya kwamba wadau wakubwa wa hizi taarab ni kinamama na watoto. Tunawafundisha nini watoto wetu kwa hizi nyimbo za matusi?
MAJANGA!
Mzee yusuf (MY) alikuwa akiimba huku akiitikiwa na dada (DD) mmoja:
MY: Mpenzi wangu nipe rahaaaa!
DD: Nipe raha mpaka nikojoeeee!
Ndugu zangu, hii maana yake ni nini? Kwa nini jamii inalazimishwa kusikilizishwa matusi huku vyombo vinavyohusika na sanaa nchini (BASATA na/au COSOTA) vikiwa kimya?
Na ni bahati mbaya kwamba wadau wakubwa wa hizi taarab ni kinamama na watoto. Tunawafundisha nini watoto wetu kwa hizi nyimbo za matusi?
MAJANGA!