CHIZI VITABU
JF-Expert Member
- Jun 12, 2021
- 1,061
- 2,475
Au labda ni teknolojia kama ya Mossad , CIA? isije ikawa zina satellite ndani, taa 32 kwa milioni 102 ukipiga hesabu ni kama vile taa moja ni tshs 3,187,000.
hakuna aliyekataa zziwekwe ila ni taa gani hizo ambapo moja inauzwa milioni 3?hilo ndilo swali languSafi sana, waweke na taa pale shamba la bibi panatia aibuuu!!!
ni za aina gani mkuu?zina upekee gani?Hizi taa zimetoka Merikan siyo Marekani
Duuh, na cc watz kwa kweli!?! tunalalamikia milioni miamoja na mbili kwa kitu ambacho utakion na kizuri tena wilaya ya Temeke yenye vyanzo vingi tu vya mapato je mtu wa wilaya ya buhigwe si atalalamikia hata hospitali!?!
Wajameni hizo taa hata wewe ukiteuliwa kuwa mkuu wa wilaya hiyo sidhani kama utazing'oa uweke karabai. Chapeni kazi mjenge nchi na pia mjenge purchasing power zenu ili msiwe mnalalamikia hata vitu vidogovidogo tu.
Anyway mwenye fungu ni mkurugenzi akiona ni expensive ataomba ushauri kweny baraza la madiwani nafikiri na mleta uzi ni diwani utakataa
Unakubali kabisa tena na kusema safi sana nchi maskini kama Tanzania zitumike sh milioni 100 kwa ajili tu ya taa tena mbele ya ofisi ya DC?Safi sana, waweke na taa pale shamba la bibi panatia aibuuu!!!
Hawa ndiyo raia wa Tanzania hawa. Ona maoni kama haya na unaweza kukuta mtu kama huyu amemaliza sekondari! Ni janga.Duuh, na cc watz kwa kweli!?! tunalalamikia milioni miamoja na mbili kwa kitu ambacho utakion na kizuri tena wilaya ya Temeke yenye vyanzo vingi tu vya mapato je mtu wa wilaya ya buhigwe si atalalamikia hata hospitali!?!
Wajameni hizo taa hata wewe ukiteuliwa kuwa mkuu wa wilaya hiyo sidhani kama utazing'oa uweke karabai. Chapeni kazi mjenge nchi na pia mjenge purchasing power zenu ili msiwe mnalalamikia hata vitu vidogovidogo tu.
Anyway mwenye fungu ni mkurugenzi akiona ni expensive ataomba ushauri kweny baraza la madiwani nafikiri na mleta uzi ni diwani utakataa
Nani atagharimia hiyo bili ?!!!Au labda ni teknolojia kama ya Mossad ,CIA? isije ikawa zina satellite ndani,taa 32 kwa milioni 102 ukipiga hesabu ni kama vile taa moja ni tshs 3,187,000
View attachment 1835927
Umeangalia tu taa kama taa kwa maana ya balbu na cover yake au?. Kuna solar system hapo, kuna sensing system ya kujua kama ni mchana au jioni, kuna mlingoti wa chuma na zege la kuweka, gharama za vibarua. Umewaza yote hayo? Pia nilitegemea ungeleta estimation ya gharama ambazo unadhani zingekuwa sahihi. Kusema m 3 ni nyingi bila kuwa reference point inakuwa haieleweki, nyingi ukilingalisha na nini? Hiyo ni relative termhakuna aliyekataa zziwekwe ila ni taa gani hizo ambapo moja inauzwa milioni 3?hilo ndilo swali langu
HahahaJokate alijenga choo kimoja kwa tsh 40,000,000 pale Kisarawe!
Umepiga gharama ya mkandarasi ? Procurement n.k au unadhani hiyo hela ni taa peke yake?Au labda ni teknolojia kama ya Mossad ,CIA? isije ikawa zina satellite ndani,taa 32 kwa milioni 102 ukipiga hesabu ni kama vile taa moja ni tshs 3,187,000
View attachment 1835927
Bado una safari ndefu ya kujifunza kuhusu manunuzi na ujenzi mkuuUnakubali kabisa tena na kusema safi sana nchi maskini kama Tanzania zitumike sh milioni 100 kwa ajili tu ya taa tena mbele ya ofisi ya DC?
mbona umeongea kna kwamba kuna process ndefu umeambiwa kazi itachukua week 2 tuUmepiga gharama ya mkandarasi ? Procurement n.k au unadhani hiyo hela ni taa peke yake?
Kwanza eneo lazima ifanyike survey, uandaliwe mchoro, baada ya hapo tender itangazwe au wafanye selective tendering, baada ya kupata mkandarasi kazi inaanza...
Kumbuka kuna kuchimba shimo ili uweke base ya kubeba hizo poles (nguzo) nazo ni gharama pia, Usisahau hiyo base inakua na reinforcement kuipa uimara,
Ongeza hili katika akili yako ni kwamba watu wanaweza kuandaa michoro lakini specification za material siyo locally yaan inabidi uagize nje, piga gharama ya shipping, clearing & forwarding...