sengobad
JF-Expert Member
- Aug 13, 2017
- 8,077
- 7,450
Labda mavi hayatanuka😂😂😂😂Jokate alijenga choo kimoja kwa tsh 40,000,000 pale Kisarawe!
Labda mavi hayatanuka😂😂😂😂Jokate alijenga choo kimoja kwa tsh 40,000,000 pale Kisarawe!
Fundi unatetea kandarasi nadhani ya kuzifunga!!duuh, na cc watz kwa kweli!?! tunalalamikia milioni miamoja na mbili kwa kitu ambacho utakion na kizuri tena wilaya ya temeke yenye vyanzo vingi tu vya mapato je mtu wa wilaya ya buhigwe si atalalamikia hata hospitali!?!. wajameni hizo taa hata wewe ukiteuliwa kuwa mkuu wa wilaya hiyo sidhani kama utazing'oa uweke karabai. wajameni chapeni kazi mjenge nchi na pia mjenge purchasing power zenu ili msiwe mnalalamikia hata vitu vidogovidogo tu. anyway mwenye fungu ni mkurugenzi akiona ni expensive ataomba ushauri kweny baraza la madiwani nafikiri na mleta uzi ni diwani utakataa
ameongea kana kwamba ni mtaa mzima kumbe ni taa 32 tu nje ya ofisi yake hiyo hata fundi maiko anafanya kazi yeye kaweka process nzima wakati joketi mwenyewe anasema itachukua week 2 tu ukiingia jiji,.com kuna hadi taa za 250,000 tena solarFundi unatetea kandarasi nadhani ya kuzifunga!!
Kwa vile umepigwa kule pakubwa basi na huku ukipigwa ni sawa tu? Haya mambo ya hawa viongozi uchwara wanaookotezwa kwenye mitandao kupewa madaraka ni hatari. Wengi wanaishia kufanya kazi kwa matamko ya hapa na pale huku wakihakikisha matamko yao yanapewa kipaumbele kwenye hizi media uchwara za nchi yetu. Kila kitu kina utaratibu wake na upangiliaji wa mji zikiwemo taa zina watu wake. Hao ndiyo angehakikisha wanafanya kazi zao na siyo kuja na maigizo kama yale ya Makonda.Hizo taa zina umuhimu mkubwa kuliko hiyo gharama mnayoona kubwa. Je kwenye mafuta ya Kigamboni tumepigwa pesa ngapi?
Masikini ni wewe mwenyewe! Aweke balbu ya buku watt 15? Kwa akili zako zile taa za barabarani ngizo tu moja ya chuma inagharimu sh ngapi?Unakubali kabisa tena na kusema safi sana nchi maskini kama Tanzania zitumike sh milioni 100 kwa ajili tu ya taa tena mbele ya ofisi ya DC?
Vipi ana kismell?Unataarifa zake zozote kuhusu smell?
Sio ded tenaController wa pesa wilayani ni DAS , sio DC
Taa za kawaida za solar mnazoziona kwenye barabara nyingi nchini zinauzwa mil.2.5-3 na zina betri yenye guarantee ya miaka 2-5 na zinatofautianahakuna aliyekataa zziwekwe ila ni taa gani hizo ambapo moja inauzwa milioni 3?hilo ndilo swali langu
Daaa, nimecheka 😂🤣 sana mkuu..!Hawa ndiyo raia wa Tanzania hawa. Ona maoni kama haya na unaweza kukuta mtu kama huyu amemaliza sekondari! Ni janga.
Mwendazake uginjwa wake mkubwa ilikuwa ni roho mbaya & paranoia ila vyote kaenda navyo kuzimuMwendawazimu ajamrithisha kweli magonjwa yake yasio na tiba😂
Ila wadada wana roho ngumu sana😅
Acha hizo mkuu ,maendeleo ni gharama mkuu wewe unaona 102M (tsh ni nyingi mno)?fedha yetu haina thamani kabisa ,hii ingekuwa kwenye Pula,Zambian kwacha yes but in ths ni pesa ndogo sana,tumshauri our President Samia aondoe zile 000 zote na tubakiwe na noti ya 100 tu.hakuna aliyekataa zziwekwe ila ni taa gani hizo ambapo moja inauzwa milioni 3?hilo ndilo swali langu
Pumbavu!duuh, na cc watz kwa kweli!?! tunalalamikia milioni miamoja na mbili kwa kitu ambacho utakion na kizuri tena wilaya ya temeke yenye vyanzo vingi tu vya mapato je mtu wa wilaya ya buhigwe si atalalamikia hata hospitali!?!. wajameni hizo taa hata wewe ukiteuliwa kuwa mkuu wa wilaya hiyo sidhani kama utazing'oa uweke karabai. wajameni chapeni kazi mjenge nchi na pia mjenge purchasing power zenu ili msiwe mnalalamikia hata vitu vidogovidogo tu. anyway mwenye fungu ni mkurugenzi akiona ni expensive ataomba ushauri kweny baraza la madiwani nafikiri na mleta uzi ni diwani utakataa
Mmetafiti hasara au faida ya hizo taa kabla ya kuja na majumuisho yenu Mkuu?Kwa vile umepigwa kule pakubwa basi na huku ukipigwa ni sawa tu? Haya mambo ya hawa viongozi uchwara wanaookotezwa kwenye mitandao kupewa madaraka ni hatari. Wengi wanaishia kufanya kazi kwa matamko ya hapa na pale huku wakihakikisha matamko yao yanapewa kipaumbele kwenye hizi media uchwara za nchi yetu. Kila kitu kina utaratibu wake na upangiliaji wa mji zikiwemo taa zina watu wake. Hao ndiyo angehakikisha wanafanya kazi zao na siyo kuja na maigizo kama yale ya Makonda.
Mdau kajibu hapo juu,hizi ni automatic solar lighting system,solar,sensor,mlingoti,na Kazi zinazohusiana na kusimamisha hizo nguzo.watu wanaolalamikamimi kuuliza gharama na kusema sijui ni wivu sijui sijmaliza secondary school naomba mnisaidie kunijibu...HIZO TAA ZINA NINI CHA AJABU? MILIONI 100 HAIWEZI KUFUNGA TAA MTAA MZIMA HUO BADALA YA KUWEKA KWENYE OFISI YAKE TU?
Limbukeni mkubwa wewe tena mjinga na mpumbavu! Katika hali ya kawaida unadhani vyote ulivyoorodhesha vinaweza kufanyika kwa wiki 2 kama siyo wizi na ufisadi!Umepiga gharama ya mkandarasi ? Procurement n.k au unadhani hiyo hela ni taa peke yake?
Kwanza eneo lazima ifanyike survey, uandaliwe mchoro, baada ya hapo tender itangazwe au wafanye selective tendering, baada ya kupata mkandarasi kazi inaanza...
Kumbuka kuna kuchimba shimo ili uweke base ya kubeba hizo poles (nguzo) nazo ni gharama pia, Usisahau hiyo base inakua na reinforcement kuipa uimara,
Ongeza hili katika akili yako ni kwamba watu wanaweza kuandaa michoro lakini specification za material siyo locally yaan inabidi uagize nje, piga gharama ya shipping, clearing & forwarding...
nasubiri jibu hapa,Vipi ana kismell?
Hizi ni zaidi ya 3 mil. MkuuMfano km hizi nazani gharama yake inafika mil.3 pamoja na gharama ya ufundi.View attachment 1835985
Kwa taarifa yako,bei ya serikali ni mil.3 na kuna specifications kulingana na service inayotakiwa na wapi zinahitajika.hizi huoni ziko scattered barabara nzima ? yeye anaweka 32 tu ofisini kwake kuna taa hadi za laki 250,000 hapahapa bongo na ni solar
hata kama ukiweka hiyo chuma lake haziwezi fika milioni 3 na laki moja mazeeee,duuuh