CHIZI VITABU
JF-Expert Member
- Jun 12, 2021
- 1,061
- 2,475
- Thread starter
- #21
kazi itachukua wiki 2 na ni taa 32 tu zitakazokuwa nje ofisini kwake kwa kifupi ni security lightsBado una safari ndefu ya kujifunza kuhusu manunuzi na ujenzi mkuu
kazi itachukua wiki 2 na ni taa 32 tu zitakazokuwa nje ofisini kwake kwa kifupi ni security lightsBado una safari ndefu ya kujifunza kuhusu manunuzi na ujenzi mkuu
Nguzo ya chuma + ujenzi +taa yenyewehakuna aliyekataa zziwekwe ila ni taa gani hizo ambapo moja inauzwa milioni 3?hilo ndilo swali langu
hilo ndilo swali langu haswa, milioni 100 inaweza saidia kupunguza hata kero ya takataka au kitu kifaidisha hata kata nzimaTatizo sio gharama za kuweka taa kwenye ofisi ya DC ila je ktk wilaya ya temeke hakuna matatizo yanayoweza kutatuliwa na hizo 100m mfano kununua gari la wagonjwa, gari la kubeba taka, kulipa staff wa kujitolea kwenye sector za elimu na afya
Hizo taa zina umuhimu mkubwa kuliko hiyo gharama mnayoona kubwa. Je kwenye mafuta ya Kigamboni tumepigwa pesa ngapi?Unakubali kabisa tena na kusema safi sana nchi maskini kama Tanzania zitumike sh milioni 100 kwa ajili tu ya taa tena mbele ya ofisi ya DC?
ufisadiAu labda ni teknolojia kama ya Mossad ,CIA? isije ikawa zina satellite ndani,taa 32 kwa milioni 102 ukipiga hesabu ni kama vile taa moja ni tshs 3,187,000
View attachment 1835927
Nazani zitakuwa zile taa zenye Sola ukichanganya na gharama za ufundi na vifaa vinginehakuna aliyekataa zziwekwe ila ni taa gani hizo ambapo moja inauzwa milioni 3?hilo ndilo swali langu
Hizo zitakuwa spotlights mkuu zina gharama kweli.ni za aina gani mkuu?zina upekee gani?
Je hiyo kazi watakaoifanya ni wafungwa ama wataalamu ambao wanapaswa kulipwa!?Nguzo ya chuma + ujenzi +taa yenyewe
Huenda zipo milioni 100 zingine kwa kazi hizo ulizotaja.hilo ndilo swali langu haswa, milioni 100 inaweza saidia kupunguza hata kero ya takataka au kitu kifaidisha hata kata nzima
Mfano km hizi nazani gharama yake inafika mil.3 pamoja na gharama ya ufundi.Nazani zitakuwa zile taa zenye Sola ukichanganya na gharama za ufundi na vifaa vingine
hizi huoni ziko scattered barabara nzima ? yeye anaweka 32 tu ofisini kwake kuna taa hadi za laki 250,000 hapahapa bongo na ni solarMfano km hizi nazani gharama yake inafika mil.3 pamoja na gharama ya ufundi.View attachment 1835985
Hiko choo unaweza Lia ugali sakafuni na usihisi kituJokate alijenga choo kimoja kwa tsh 40,000,000 pale Kisarawe!
Basi tuendeleee kupiga kelele huenda wahusika wakafuatiliahizi huoni ziko scattered barabara nzima ? yeye anaweka 32 tu ofisini kwake kuna taa hadi za laki 250,000 hapahapa bongo na ni solar
hata kama ukiweka hiyo chuma lake haziwezi fika milioni 3 na laki moja mazeeee,duuuh
kwa kweli hiyo milioni 102 anaweza akatenga akamulika mtaa kabisaBasi tuendeleee kupiga kelele huenda wahusika wakafuatilia
Jiji la tanga Lina hizi taa zimetapakaa jiji zimamwisho wa siku utaenda kukuta zinawekwa kama hizi za 600,000 kila moja...kwa milioni 10 akiweka hata za laki 3 si anawasha huo mtaa mzima kabisa ? sasa bajeti yake ni 3,187,000 kwa taa moja
View attachment 1835971
Controller wa pesa wilayani ni DAS , sio DCJokate alijenga choo kimoja kwa tsh 40,000,000 pale Kisarawe!