Black BackUp
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 683
- 618
Habari wana JF, Niende straight to the point.
Unakuta mgeni amekuja kukutembelea nyumbani kwako/kwenu wote mnakuwa bize na simu kwenye mtandao kati yenu panakuwa hakuna stori zaidi ya salamu na kuitikiana tu ehee.
Mwingine anajibu hata kisichoulizwa/ambiwa,dereva naye anachati mpaka anasimama katikati ya zebra ama foleni inaenda hana habari.
Kilichonikumbusha niandike uzi yaani kwenye daladala jana mdada amemdondosha mtoto chini ya siti baada ya kukonsetreti kwenye simu mpaka akasahau kwamba kashika mtoto.
Jamani inabidi tubadilike, simu hizi (smartphone) ndiyo chanzo sana cha matatizo.
Unakuta mgeni amekuja kukutembelea nyumbani kwako/kwenu wote mnakuwa bize na simu kwenye mtandao kati yenu panakuwa hakuna stori zaidi ya salamu na kuitikiana tu ehee.
Mwingine anajibu hata kisichoulizwa/ambiwa,dereva naye anachati mpaka anasimama katikati ya zebra ama foleni inaenda hana habari.
Kilichonikumbusha niandike uzi yaani kwenye daladala jana mdada amemdondosha mtoto chini ya siti baada ya kukonsetreti kwenye simu mpaka akasahau kwamba kashika mtoto.
Jamani inabidi tubadilike, simu hizi (smartphone) ndiyo chanzo sana cha matatizo.