Jana kwa nasibu nilibahatika kuangalia taaarifa ya habari ya TBC! Bila Shaka taariffa hiyo ilimpa nafassi kubwa Sana Marehemu,kuanzia historia Hadi utumishi ambao wao waliuita uliotukuka!
Ila Cha kusikitisha ni kuwa badala ya kumjadili Kijazi ,walikuwa wanamjadili JPM!
Kimsingi waandaji wa habari zile ambazo zilitumia takribaini dk 20+ hawakuwa na weledi au waliweka weledi chini !
Mfano walitumia kigezo cha Barbara za Jiji la Dodoma kuelezea uchapakazi wa Marehemu!
Katika hotuba yake Rais alisema kuwa alipokuwa Naibu Waziri ujenzi miaka ya 1996+ Kijazi alikuwa Mhandisi wa Barabbara Dodoma,na kwa mujibu wa Rais alifanya vizuri Sana!Kilichopelekea apelekwe Wizarani!
Bila kutafakari TBC wakakimbilia Dodoma kwenda kutuonesha Barbara za lami na kuwahoji wananchi kuhusu mafanikio hayo...!😂😂
Barabara zilizooneshwa na wananchi kuhojiwa ni Barbara ya Dodoma Babati kupitia Kondoa,Barabara zakatikati ya jiji pale kwenye shopping centers na Nkuhungu !
Inashangaza kidogo hizi bàrabara nyingi zimejengwa miaka ya 2005 na si kipindi Kijazi alikuwa Mhandisi Dodoma ...ni muhimu kujifunza kusifu!
Sifa nyingine aliyopewa Marehemu ni Unyenyekevu!
Kwenye utumishi wa Umma kuwa mnyenyekevu no tungo Tata!
Kama mtu anafuata na kusimamia maadili ya Utumishi hahitaji kuwa mnyenyekevubali inakuja automatic'
Wala haihiitaji kusifiwa!
Pili,alikuwa mnyenyekevu kwa Nani 😂😂😂kuna baadhi ya Watawala ...ukiwa mnyenyekevu kwao Ina maaanisha kuwa wewe ni Benderaa fuata upepo!
Kuna nyadhifa za Urasimu Serikalini ukiwa àmbiwa mwenye nacho ni mnyenyekevu ...ni lazima ujiulize Mara mbilimbili!
Mwalimu Nyerere aliwateua kwenye uongozi watu wengi Sana ambao hawakuwa wanyenyekevu kwake ....miaka hii nani anaweza!
Tuwasifu watu kwa sifa zao bila kutia chumvi!
Ila Cha kusikitisha ni kuwa badala ya kumjadili Kijazi ,walikuwa wanamjadili JPM!
Kimsingi waandaji wa habari zile ambazo zilitumia takribaini dk 20+ hawakuwa na weledi au waliweka weledi chini !
Mfano walitumia kigezo cha Barbara za Jiji la Dodoma kuelezea uchapakazi wa Marehemu!
Katika hotuba yake Rais alisema kuwa alipokuwa Naibu Waziri ujenzi miaka ya 1996+ Kijazi alikuwa Mhandisi wa Barabbara Dodoma,na kwa mujibu wa Rais alifanya vizuri Sana!Kilichopelekea apelekwe Wizarani!
Bila kutafakari TBC wakakimbilia Dodoma kwenda kutuonesha Barbara za lami na kuwahoji wananchi kuhusu mafanikio hayo...!😂😂
Barabara zilizooneshwa na wananchi kuhojiwa ni Barbara ya Dodoma Babati kupitia Kondoa,Barabara zakatikati ya jiji pale kwenye shopping centers na Nkuhungu !
Inashangaza kidogo hizi bàrabara nyingi zimejengwa miaka ya 2005 na si kipindi Kijazi alikuwa Mhandisi Dodoma ...ni muhimu kujifunza kusifu!
Sifa nyingine aliyopewa Marehemu ni Unyenyekevu!
Kwenye utumishi wa Umma kuwa mnyenyekevu no tungo Tata!
Kama mtu anafuata na kusimamia maadili ya Utumishi hahitaji kuwa mnyenyekevubali inakuja automatic'
Wala haihiitaji kusifiwa!
Pili,alikuwa mnyenyekevu kwa Nani 😂😂😂kuna baadhi ya Watawala ...ukiwa mnyenyekevu kwao Ina maaanisha kuwa wewe ni Benderaa fuata upepo!
Kuna nyadhifa za Urasimu Serikalini ukiwa àmbiwa mwenye nacho ni mnyenyekevu ...ni lazima ujiulize Mara mbilimbili!
Mwalimu Nyerere aliwateua kwenye uongozi watu wengi Sana ambao hawakuwa wanyenyekevu kwake ....miaka hii nani anaweza!
Tuwasifu watu kwa sifa zao bila kutia chumvi!