Rais aliposhauriana na washauri wake sijui walifikiria nini hadi kumfanya MWANDOSYA awe waziri asiye na wizara maalum.
Mimi narudia kusema kuwa watawala mbona vipaumbele hamviangalii?
Kila siku mwashauriwa kupunguza gharama za serikali,je kuanzishwa kwa wizara hii kuna TIJA?HASA KWA WATANZANIA?
Mimi narudia kusema kuwa watawala mbona vipaumbele hamviangalii?
Kila siku mwashauriwa kupunguza gharama za serikali,je kuanzishwa kwa wizara hii kuna TIJA?HASA KWA WATANZANIA?