Primary255
Member
- Mar 23, 2021
- 16
- 16
Hii mishule imefikia hatua watoto wanamwambia mama wewe hujui kila ukitupa majibu tunakosa, wanamwambia mama yao si umesoma hadi form 4 wewe sasa tatizo nini, mi nipo ndani nawasikiliza nacheka tuu
Tulipo ambiwa elimu sio lazima uajiliwe tuliahangaa sana.sasa ona madhala yake.