logframe
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 4,240
- 5,533
Mkuu, ningependa kujua correct answers za Huyo mwalimu maana siamini macho yangu Huyo dogo alivopigwa Cross hizoU P D A T E S.
Mwanangu karudi na kilio leo kuwa nmemkosesha,nmejisikia mnyonge sana.
Nawaomba walimu wa English medium mfanye kazi zenu,na pia wazazi tufanye part yetu.
View attachment 1781100