ROGATH MCHAU
JF-Expert Member
- Jan 17, 2017
- 566
- 1,001
NI TSH, 1000/= KWINGINE 1500/=
Ni sh.ngapi Mkuu?
Ni sh.ngapi Mkuu?
Sorry Mimi nilienda hospital nikapimwa nikaambiwa nina maambukizi ya helicobacter,nikaandikiwa heligo kit nitumie, lakin nina vidonda vya tumbo ambavyo vimenitoa kama vijipele kwenye koo kwa nyuma kule,kula nakula vizuri na siumii,Hicho kizunguzungu husababishwa na mishipa ya fahamu kwenye masikio kuwa mibovu.. Kuna dawa ya mishipa inaitwa neuroton inaweza kukusaidia.
Sorry Mimi nilienda hospital nikapimwa nikaambiwa nina maambukizi ya helicobacter,nikaandikiwa heligo kit nitumie, lakin nina vidonda vya tumbo ambavyo vimenitoa kama vijipele kwenye koo kwa nyuma kule,kula nakula vizuri na siumii,tatizo koo linawaka moto hali hiyo inapelekea masikio kulia kama vile nimechomwa quineni,je tatizo linaweza kuwa SIKIO au ni hivyo vidonda!? Na kizungu zungu kwa mbali sana! Japo bado nipo kwenye dozi!kwa mwenye uzoefu msaada plzz
Jitahidi ufike hospital mkuu dos.2020
MuhimbiliMkuu ulienda spitali gani?
Hili tatizo ninalo msaada tafadhari
Hili tatizo ninalo msaada tafadhari
Mimi pia nilipona kwa kutumia bangi hiyo ni tiba bora ya sikioUnaweza kuweka mafuta ya kula yasiyoganda kwenye kijiko cha chakula, kisha dondoshea tone moja au mawili ya mafuta ya taa kisha yakoroge kwa kidole yachanganyike na kisha weka sikioni, na uzibe na pamba safi.utapona .
Kwa maumivu yoyote ya sikio, hasa sikio linalotoa usaa ,dawa yake ni majani ya bangi.
Chukua majini ya bangi , ukipata mabichi ni vizuri. Yafikiche kwa vidole mpaka yawe kama yamepondwa, kisha yadondoshee maji , kisha dondoshea ndani ya sikio, ziba kwa pamba safi mpaka asubuhi.
Hili dawa iliniponyeshea watoto wangu mawili waliokuwa wakitokwa usaa sikioni.
Inaweza kuwa na uhusiano.Samahan jaman! Hivi ukiwa na tatizo la vidonda vya tumbo vinavyotokea njia ya kooni, vinaweza usababisha masikio kupiga kelele!? Maana nilipimwa na nikaambiwa nina bacteria helicobacter, lakin sasa kooni kunaungua napk masikio ila la upande wa kishoto
inawezekana Maana nahisi kizunguzungu, miguu haina nguvu kuna muda macho yanaona hafifu sana! Ulitumia dawa gani mkuuInaweza kuwa na uhusiano.
Maana Mimi ilianza Kama Koo, kiungulia, mwisho was siku masikio na tatizo la kukosa balance
Kuna dawa nilipewa ambayo Ni dozi ya mwezi mzima ila unatakiwa tuu ukamuone daktari maana dalili za magonjwa zina fanana fanana. So unaweza ukatumia hizi kumbe tatizo Hilo auna ukawa unajitengenezea tatizo jingine...inawezekana Maana nahisi kizunguzungu, miguu haina nguvu kuna muda macho yanaona hafifu sana! Ulitumia dawa gani mkuu
Kuna
Kuna dawa nilipewa ambayo Ni dozi ya mwezi mzima ila unatakiwa tuu ukamuone daktari maana dalili za magonjwa zina fanana fanana. So unaweza ukatumia hizi kumbe tatizo Hilo auna ukawa unajitengenezea tatizo jingine...
So nivyema kuuzuria kwa mtaalam....ila orodha ya dawa ipo
[/QUOTEshukrani mkuu