Alistalikopaul
JF-Expert Member
- Feb 2, 2019
- 693
- 1,907
Kuna vitu vinafanyika dunia nzima ajabu tukitanya watanzania wanasema ushambaKatafute kwenye mitandao brands that became words utaelimika..mfano maarufu ni google..ishakuwa neno/verb so kwa shell ni brand ikawa neno kwa watz kumaanisha vituo vya mafuta hata kama halijarasimishwa na bakita.